Muscat Oman

Muscat Oman

Bavaria

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2011
Posts
53,092
Reaction score
53,568
Muscat Oman.PNG
 
Hospitality yao ikoje? Usalama? Ugaidi?

Gharama za maisha?

It's a fantastic country.

Salama kabisa, laid back, haina fujo kama Dubai. Absolute Monarchy system kama ya UAE.

Siyo ghali lakini Heineken unakunywa 5 star hotel tu ($10), hamna pombe supermarket.

Ni kama Zanzibar, Wapemba wengi residents, Kibongo ni kama lugha ya pili.

Ukienda beach yao, huwa wanacheza mpira sana.

Vyakula vyote vya Bongo vipo.

Highly recommended.
 
Recommended restaurants in Muscat:

1. Trader Vic's
InterContinental Muscat
Al Kharjiya Street

Good Food, Wine and cocktails.

2. Duke's Bar
Crowne Plaza Muscat
Ruwi, Muscat

Drink near the Qurn Beach
British style pub with Kitimoto ya kumwaga.
 
It's a fantastic country.

Salama kabisa, laid back, haina fujo kama Dubai. Absolute Monarchy system kama ya UAE.

Siyo ghali lakini Heineken unakunywa 5 star hotel tu ($10), hamna pombe supermarket.

Ni kama Zanzibar, Wapemba wengi residents, Kibongo ni kama lugha ya pili.

Ukienda beach yao, huwa wanacheza mpira sana.

Vyakula vyote vya Bongo vipo.

Highly recommended.

Thanks for your honest recommendation.
I guess i'll pay a visit one day.
 
Thanks for your honest recommendation.
I guess i'll pay a visit one day.

You won't regret it. Imetulia sana.

Pesa yao ina thamani kubwa ndani ya nchi.

Omani Riyal is pegged to US dollar at 2.6 US to 1 Omani Riyal.

Lakini nje ya GCC countries, jumuiya yao, huwezi kuitumia.

Mimi sijaweza kuchenji Riyal Yao Bangkok. Hawazitaki.
 
Hospitality yao ikoje? Usalama? Ugaidi?

Gharama za maisha?
Hakuna ugaidi,ni nchi yenye amani sana,hakuna ubaguzi kama watu wanavyoaminishwa,chakula cha kibongo kinapatikana kwenye "Zinjbar restaurant" Lugha ya kiswahili unaweza kusema ni ya pili baada ya Kiarabu (i stand to be corrected)
 
It's a fantastic country.

Salama kabisa, laid back, haina fujo kama Dubai. Absolute Monarchy system kama ya UAE.

Siyo ghali lakini Heineken unakunywa 5 star hotel tu ($10), hamna pombe supermarket.

Ni kama Zanzibar, Wapemba wengi residents, Kibongo ni kama lugha ya pili.

Ukienda beach yao, huwa wanacheza mpira sana.

Vyakula vyote vya Bongo vipo.

Highly recommended.
Wanapenda soccer kama wabrazil,kila beach kuna watuwanacheza Mpira,hata currency ya Oman ni strong sana aiseee.
 
Back
Top Bottom