yahoo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 3,527
- 1,405
Naskia huyu jamaa ametua Clouds.Binafsi naona Atleast wamepata mtangazaji maana wana watangazaji wachache sana, wengi ni waropokaji na wauza sura.Huyu ni mmoja wa watangazaji mahiri wasioweka hisia zao binafsi kwenye public kama kibonde na wale wajinga wa sports extra!