Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 56,752
- 46,271
Wazungu wakisoma hii wanakufungulia kesi ICC.
Matani mengine bana...
Wazungu wakisoma hii wanakufungulia kesi ICC.
kuomba ushauri ni suala la kawaida hata mimi silipingi ndo maana nimempa ushauri kuwa kiingereza chake kiko na matatizo. Mnapotetea kwamba kiingereza siyo lugha yetu wakati gwanda 1 anataka makala iwe kwenye journal ya kimataifa nadhani mnakuwa hamumwambii ukweli na kazi yake itakuwa kichekesho. Tusijifariji kuwa kiingereza siyo lugha ya kwetu kwa kuandika tunavyojisikia maana watakaopelekewe hiyo article hawataangalia kwamba aliyeandika hiyo article kiingereza sio lugha yake. Pia suala la kuja bila manuscript ni upungufu mwingine maana tutashindwa kutoa ushauri murua.
Dear Tanzania, Its my pleasure to inform you about my
coming article on Murder, torture and bad leadership in Tanzania, 2013. Hopefully, my article will be accepted in an international Journal. The main aim of the article is to tell the society in the world how our fellow Tanzanians who have been killed, tortured as well as bad leadership in Tanzania. There is no true democracy in Tanzania; people have loose hope of living. Therefore, I request your contribution and of course I will put the manuscript here at JF for more comments before submitting it to a Journal.Your cooperation is highly appreciating.
msaada siyo lazima nakama kwako ni tatizo ku-edit kazi ya mwezako wapo watakaofanya, unaweza kuwa mtazamaji au
ukasepa kabisa hajakulazimisha wapo watakaokuwa teyari kutoa msaada.
mbona rais wa china alikuwa anapiga lugha yake lakini walihusika wenye fani zao na mambo yakaenda sawia. Kosa
afanye mswahili akifanya mtu mweupe ah safi! Tafakali.
kuomba ushauri ni suala la kawaida hata mimi silipingi ndo maana nimempa ushauri kuwa kiingereza chake kiko na matatizo. Mnapotetea kwamba kiingereza siyo lugha yetu wakati gwanda 1 anataka makala iwe kwenye journal ya kimataifa nadhani mnakuwa hamumwambii ukweli na kazi yake itakuwa kichekesho. Tusijifariji kuwa kiingereza siyo lugha ya kwetu kwa kuandika tunavyojisikia maana watakaopelekewe hiyo article hawataangalia kwamba aliyeandika hiyo article kiingereza sio lugha yake. Pia suala la kuja bila manuscript ni upungufu mwingine maana tutashindwa kutoa ushauri murua.
Dear Tanzania, Its my pleasure to inform you about my coming article on Murder, torture and bad leadership in Tanzania, 2013. Hopefully, my article will be accepted in an international Journal. The main aim of the article is to tell the society in the world how our fellow Tanzanians who have been killed, tortured as well as bad leadership in Tanzania. There is no true democracy in Tanzania; people have loose hope of living. Therefore, I request your contribution and of course I will put the manuscript here at JF for more comments before submitting it to a Journal.Your cooperation is highly appreciating.
wewe kiingeleza chako ni kizuri?wakat mwingne ucpende kukosoa bila kufkria kwan kiingeleza sio lugha yetu,