Masterkratos
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 584
- 573
Ndio mkuu italeta utofauti. Ila kuna mambo kwanza inabidi uchunguze.
1. Kuna laptop zina slot 2 za ram ila zinarun kwenye single chanell hivyo hata uweke ram mbili haitasaidia, ni vyema uangalie specs zako kujua.
2. Angalia gpu usage unapocheza game, run game zitozito kama una pad ya Xbox bonyeza ile button ya katikati ama kuna shortcut fulani ctrl +G kama kumbukumbu zipo vizuri, (windows 10), kama gpu inatumika chini ya asilimia 100 inamaana kuna bottleneck mahala fulani ambayo likely ni memory. Kuna case mbalimbali, ila dual chanell inaweza boost asilimia 10 mpaka 70 kutegemea na game.
3. Pia hizi ryzen unaweza run kwa 15w na 25w mode, kama laptop yako ni kubwa pengine ni 25w angalia kwenye bios vitu kama hivi utavikuta na ram speed pia, kwa 25w utapata perfomance kubwa na ukaaji chaji mdogo.
Kuhusu ram wale jamaa wa capricon mjini morogoro road ni kama Amazon vile kila kitu essential wanacho ila bei zao zinataka ufumbe macho.
183,000 kwa ddr4
Nimeongeza tdp hadi 25w kutoka 15w FPS za gta v zimeongezeka kama 5 hivi sema laptop ina 8 gb single ram. Bongo ram ddr4 bei kubwa sana, inabidi niagize AliExpress.