AlphaPii
JF-Expert Member
- May 15, 2015
- 1,169
- 1,853
umenikamia,basi tuendelee kumuelekeza jamaaKwani yeye alikuwa na shida ya Blog yako au maelekezo jinsi ya kutengeza blog?
umenikamia,basi tuendelee kumuelekeza jamaaKwani yeye alikuwa na shida ya Blog yako au maelekezo jinsi ya kutengeza blog?
hapo imekamilika ila unahitaji ubunifu wa rangi pamoja na theme,mtindo wa maandishi pamoja na account ya adsence(matangazo),nenda kwenye "menu" pale ulipo kuwa mwanzo ndo utakuta masetting kibaoView attachment 405054mkuu nimefika hapa naendeleaje?
nimeshaquote pcha yakoWakuu freelancel wakala na Alfa Mwijumbe msaada wenu zaidi tafadhari
Sasa mkuu naomba unisaidie vipengele hivinimeshaquote pcha yako
1;ukienda kwenye setting kuna sehemu ya blog address andika;mfano hance.blogspot.comSasa mkuu naomba unisaidie vipengele hivi
1:kuingia kwenye blog yang bila kupitia hiyo link hapo juu naingiaje?
2:Nataka niweze kuifanya wengine waweze kuisoma na kuidownload ,je napo nifanyeje
3:Jinsi ya kuandika habari na kuona Comments za watu wengine
4:Kuna gharama yoyote ya kuendesha blog??
Mkuu shida inakuja pale pale kwenye kuiona blog yangu maana huwa naingia kwenye link mliyoiweka hapo juu, tofauti na kuingia kwenye link hiyo je naweza nikaingilia wapi? Na mimi nanufaika vipi na kumiliki blog?umemaliza??
Mkuu usichoke kunisaidia nikikamilisha nitakutoa na chochote kituumemaliza??
Hii account ya matangazo inakuaje kuaje?hapo imekamilika ila unahitaji ubunifu wa rangi pamoja na theme,mtindo wa maandishi pamoja na account ya adsence(matangazo),nenda kwenye "menu" pale ulipo kuwa mwanzo ndo utakuta masetting kibao