Mkuu usipende kuamini ngonjera za kina Mengi!
Niambie ni mtanzania au kampuni ya kitanzania gani aliyewekeza katika tafiti za rasilimali zetu hasa hayo mafuta na gesi?
Kina mengi wabakie kuuza soda na juisi tu,wasijidai na kujikweza kwa vitu wasivyoviweza.
Watanzania hatujawekeza katika utaalamu vya kutosha!tunatakiwa kufanya hivyo sasa...