Yes, u r Real Tanzanian !!Niliwahi kusafiri kwa gari kutoka Lokichoggio mpakani mwa Kenya na Sudan kwenda Kapoeta (mji ndani ya South Sudan) kwa gari. A few kilometers ndani ya ardhi ya South Sudan nilimuona pembeni ya barabara Baba mmoja akichunga kundi la ng'ombe huku akiwa uchi wa mnyama lakini begani akiwa na AK47. Kwa kweli nilikosa amani njia nzima. Niliambiwa watu wa eneo lile (Wapokoti), wanaume kukaa uchi wa mnyama ni kitu cha kawaida sana huku wanawake wakiacha matiti nje.
Hivyo msimshangae huyo.
Tiba
Niliwahi kusafiri kwa gari kutoka Lokichoggio mpakani mwa Kenya na Sudan kwenda Kapoeta (mji ndani ya South Sudan) kwa gari. A few kilometers ndani ya ardhi ya South Sudan nilimuona pembeni ya barabara Baba mmoja akichunga kundi la ng'ombe huku akiwa uchi wa mnyama lakini begani akiwa na AK47. Kwa kweli nilikosa amani njia nzima. Niliambiwa watu wa eneo lile (Wapokoti), wanaume kukaa uchi wa mnyama ni kitu cha kawaida sana huku wanawake wakiacha matiti nje.
Hivyo msimshangae huyo.
Tiba
unaogopa sana bunduki? Mimi naogopa panga,kisu,shoka na mshare,lakini bunduki siogopi!
Tiba ulikosa amani kwa kuuona ule uchi wake au ni ile AK 47? Sijakuelewa bidada nisamehe tuNiliwahi kusafiri kwa gari kutoka Lokichoggio mpakani mwa Kenya na Sudan kwenda Kapoeta (mji ndani ya South Sudan) kwa gari. A few kilometers ndani ya ardhi ya South Sudan nilimuona pembeni ya barabara Baba mmoja akichunga kundi la ng'ombe huku akiwa uchi wa mnyama lakini begani akiwa na AK47. Kwa kweli nilikosa amani njia nzima. Niliambiwa watu wa eneo lile (Wapokoti), wanaume kukaa uchi wa mnyama ni kitu cha kawaida sana huku wanawake wakiacha matiti nje.
Hivyo msimshangae huyo.
Tiba
Tiba ulikosa amani kwa kuuona ule uchi wake au ni ile AK 47? Sijakuelewa bidada nisamehe tu
Mimi ni mtu mzima uchi wake haukunitisha, kilichonitisha na kunikosesha amani ni kama kweli mtu ambaye hajui thamani ya kuvaa nguo anaijua thamani ya AK47. Kwa utamaduni wetu, mtu anayetembea uchi yumkini ni mwehu, leo ukutane na mtu yuko uchi na AK47 mkononi utakuwa na amani hapo? Si utafikiri ni mwehu na wakati wowote anaweza ku-pull trigger?
Tiba
Tiba,
Siku nyingine ukienda nchi za kigeni uliza tu tamaduni za huko. Mi huwa naona shida hata kutembe ninapokutana na visichana, vigoli kabisa, chuchu saa 6 vya kabila hiyo halafu vimefunika papuchi kwa kagozi mfano wa mkono tu halafu haifungwi. Nilisema, hao wakija hapa bongo, mahakama si zingeacha shughuli nyingine watu wahukumiwe miaka 30 kila siku?
Weye si uliwaona? Je ingekuwa ni hapa bongo.
Yaani sikuamini kwamba katika dunia ya leo bado kuna binadamu wanatembea uchi bila kuvaa nguo. Wanawake matiti nje. Nilimuuliza mwenyeji wangu sasa kwenye gatherings inakuwaje endapo mtu akimuangalia msichana halafu machine ikaanza kuhesabu mita huku chini. Aliniambia kwa utamaduni wao hakuna kitu kama hicho kwani ikitokea huyo mtu adhabu atakayopewa hatakaa haisahau. Mtu mzima anakuja kwenye mkutano uchi kabisa na anakaa kwa raha zake.
Kama kwao inawezekana, basi hata hapa kwetu tungekuwa tunaona ni kitu cha kawaida tu, ingekuwa hakuna kufungana miaka 30.
Tiba