mkuu hivi betri ya hii xiaomi note 4Yep!
ntaipata wapi mjini hapa na kwa bei gani?
mkuu hivi betri ya hii xiaomi note 4Yep!
Kampuni inaitwa wingtechZinatengenezwa na nani
Je kwa ubora zinalingana?
a30 bei gani?
Hizi real me unachukua mkuu india naweza shawishika sema nakosa namna endapo naitaka hii simu?Kwa 400k utapata nzuri zaidi. Ila unaweza ongezea elfu kadhaa ukachukua Redmi 7 au Mi Play. Pia kuna Realme 3 sema hadi uchukue India, AliExpress hazipo.
View attachment 1096529View attachment 1096530View attachment 1096531View attachment 1096532
mkuu hivi betri ya hii xiaomi note 4
ntaipata wapi mjini hapa na kwa bei gani?
Hizi real me unachukua mkuu india naweza shawishika sema nakosa namna endapo naitaka hii simu?
Mimi mara nyingi huwa naagiza online AliExpress.
Kwa hapa TZ original battery niliwai kusikia inauzwa TZS 50000.View attachment 1106745View attachment 1106746
hivi OG Pixel tatizo lao la mic & dispaly walilishughulikia maana kuna muda nilisikia malalamiko..Kampuni inaitwa wingtech
Kwa specs wise hizi simu hazina mpinzani, mfano hio A10 jamaa anayotangaza hapo juu inacheza hadi pubg, cpu yake ina core 2 za cortex A7x series ambazo hutumika kwenye simu za bei ghali tu. Kwa hio bei sidhani kama kuna simu mtaani inayoweza compete.
Sema zina ratings score ndogo sana kwenye site kama gsmarena, vitu kama camera, display etc sio standard ya samsung tulioizoea, hivyo tegemea kioo mchele mchele, na simu ambayo sio reliable kivile.
Mwisho wa siku inategemea unataka kununua kwa ajili ya nini.
poa poaBei elekezi ya Samsung ni 575k
Kampuni inaitwa wingtechKampuni inaitwa wingtech
Kwa specs wise hizi simu hazina mpinzani, mfano hio A10 jamaa anayotangaza hapo juu inacheza hadi pubg, cpu yake ina core 2 za cortex A7x series ambazo hutumika kwenye simu za bei ghali tu. Kwa hio bei sidhani kama kuna simu mtaani inayoweza compete.
Sema zina ratings score ndogo sana kwenye site kama gsmarena, vitu kama camera, display etc sio standard ya samsung tulioizoea, hivyo tegemea kioo mchele mchele, na simu ambayo sio reliable kivile.
Mwisho wa siku inategemea unataka kununua kwa ajili ya nini.
Mkuu unaiongeleaje SAMSUNG A20, kuilinganisha na SAMSUNG J5 PRIMEKampuni inaitwa wingtech
Kwa specs wise hizi simu hazina mpinzani, mfano hio A10 jamaa anayotangaza hapo juu inacheza hadi pubg, cpu yake ina core 2 za cortex A7x series ambazo hutumika kwenye simu za bei ghali tu. Kwa hio bei sidhani kama kuna simu mtaani inayoweza compete.
Sema zina ratings score ndogo sana kwenye site kama gsmarena, vitu kama camera, display etc sio standard ya samsung tulioizoea, hivyo tegemea kioo mchele mchele, na simu ambayo sio reliable kivile.
Mwisho wa siku inategemea unataka kununua kwa ajili ya nini.
Zina line 2 lakini moja ni esim, na nyengine ndio laini ya kawaida.hivi OG Pixel tatizo lao la mic & dispaly walilishughulikia maana kuna muda nilisikia malalamiko..
halafu hivi zipo za laini mbili?
okay...hivi kuna mtandao bongo wanazo hizo esim?Zina line 2 lakini moja ni esim, na nyengine ndio laini ya kawaida.
Na hayo matatizo bado yapo kuna patch za hapa na pale zinatolewa ila still watu wanareport yapo.
Na pia kuna pixel mpya siku hizi ambazo ni midrange kwa bei ya kati
Sijasikia mkuu kama kuna mtandao umeanza hii huduma na pia hio esim ni hizi pixel mpya za zamani hazina.okay...hivi kuna mtandao bongo wanazo hizo esim?
OG Pixel si nafuu kwa sasa kuliko hizo pixel 3a ama?
shukraniSijasikia mkuu kama kuna mtandao umeanza hii huduma na pia hio esim ni hizi pixel mpya za zamani hazina.
Na OG pixel itakuwa nafuu sema specs wise 3a itakuwa nzuri zaidi.
Tanzania naipataje, hiyo m10 kwa bei gani?
Mkuu unaiongeleaje SAMSUNG A20, kuilinganisha na SAMSUNG J5 PRIMESijasikia mkuu kama kuna mtandao umeanza hii huduma na pia hio esim ni hizi pixel mpya za zamani hazina.
Na OG pixel itakuwa nafuu sema specs wise 3a itakuwa nzuri zaidi.
Mkuu kama nilivyosema hapo juu hizi simu specs zake ni kubwa sana, A20 ina nguvu kama mara 2 ama zaidi compare na j5 prime. Issue inakuja hizi simu hazijatengenezwa na samsung hivyo hazina ile top quality factor,Mkuu unaiongeleaje SAMSUNG A20, kuilinganisha na SAMSUNG J5 PRIME
Nmeona iyoo A20 ina mpk kioo cha super amoled na ram ya 3Gb rom ya 32 lakini bei yake iko chini kulinganisha na J5Prime ambyo haina super amoled na ram ake ni 2gb wakt rom 16gb...
Kingine nataka kujua ipi ni simu nzuri kati ya ile yenye LED flash na ile inayotumia AUTO FOCUS.....Kamera ya mbele (selfie)
Cc Chief Mkwawa
Cc mr Mobile
A70 vs nokia 7.1 vip mkuuNimeona reviews za m10 na m20 gsmarena ni makopo tu ya kichina, wanunuzi kuweni makini.