pandagichiza
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 4,643
- 3,020
Hizi samsung m series zinapatokana wapi?Mkuu tafuta kitu cha Samsung A50 yenye gb128 na ram 6 inauzwa kati ya 550k hadi 600k iko poa kila idara au tafuta M30s sio m30 tu iwe na s mwishoni nayo pia iko ok sana bei haziachani sana uzur wa hiyo M30s ina betri kubwa zaidi 6000mah na ram 6 na rom 128 now mi nmechukua A30 ina ram 4gb na rom 64gb betri 4000mah network 4g naenjoy sana ukizingatia nmetoka kweny kifungo cha series za tecn na infinix ni raha sana aise.
Hata aliexpress sizioni