Muonekano wa mwanaume asiye na pesa

Muonekano wa mwanaume asiye na pesa

Mbona kama umemind bro ipi hapo tabia yako mzee
Ninaweza kuwa na tabia hizo by 90% na nina hela kuliko BF wako aliyewahi kukuhonga pesa nyingi sana....

Ukiacha issue ya movie za kiswahili na ya remote, hizo tabia zote ni za mtu mwenye hela tena nyingi sana........

Watu wasiokuwa na hela huwa wanajitahidi kujikubalisha, ni watu watanashati sana sana wakijaribu kukubalika....

no 4,7,8,9, 11 na 14 ni issue za tabia hazihusiani na kipato cha Mtu kabisa..... sasa kufungua soda na mdomo kunahusiana nini na umaskini?
 
Hizo tabia sina na pesa sina.

Sasa sijui nina pesa ila sijijui.

Au kuanzia shingapi ndio unahesabika kuwa una pesa?
 
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134] dompo 1 bar 15000...uwiiii...ila kwa hyo comment sawa tu..wapi
Rebeca 83 ..Akazie hilisuala
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mama leo umekula nini hadi unanipa ofa[emoji134][emoji134][emoji134]

Alafu ujue nakudai ulinikimbizia mchumba!!
 
Back
Top Bottom