Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,452
- 12,319
huyo beki tatu alichokozwa na nani?
Zingatia hii sentensi "ila tunazidiana kiwango"
huyo beki tatu alichokozwa na nani?
Wewe mwanamke hujazaa ndio maana umesema hivyo.kwa nini lakini,ni lini tutajifunza jinsi ya kusamehe?yote hayo kwa nini?kama yule mtoto yupo hai angeachwa tu
Huu ndio muonekano mpya wa yule binti aliyemtembezea kisago cha kufa mtu yule dogo wa kule Uganda.
Hii ni mara baada ya kula kichapo cha kufa mtu kutoka kwa baba mzazi wa yule dogo .
Huu ndio muonekano mpya wa yule binti aliyemtembezea kisago cha kufa mtu yule dogo wa kule Uganda.
Hii ni mara baada ya kula kichapo cha kufa mtu kutoka kwa baba mzazi wa yule dogo .
Huu ndio muonekano mpya wa yule binti aliyemtembezea kisago cha kufa mtu yule dogo wa kule Uganda.
Hii ni mara baada ya kula kichapo cha kufa mtu kutoka kwa baba mzazi wa yule dogo .
Sijaribu kumtetea housegirl, ila wote watatu, wewe, house girl na baba mzazi hamna akili, kwa hyo we ulichoweza kufanya ni kutukana tu?, angalieni jinsi gani mnaweza kuiondoa hii hali ya ukatili wa wasichana wa kazi kwa watoto?
tufanye nini?, nini kifanyike? they are human being, kuna kitu kinawafanya wawe hivyo, especially in African countries and Asia? why this and how could we overcome? ili tuwe na amani majumbani...
sio unakuja kuonyesha hisia za kipuuzi, utafikiri we ndio mzazi peke yako, you need to think!.....badala ya kupunguza tatizo, unaongeza tatizo.....
Mi nashauri hivi...
Hawa wasichana, kitu cha kwanza inabidi muwafanye part of the family, yule sio mtumwa kufanya kazi zote za familia, msaidiane, mpendeni, kwangu housegirl ni mtu muhimu mno, sababu anaweza kufanya conspiracy na maadui zenu hata kuwawekea sumu kwenye vyakula, hivyo kumfanyia vitu vizuri, kumpa mshahara mzuri na kwa wakati inampa bonding emotion ya kuhisi nae ni part of the family.....
Hasa akina mama I saw them for my own eyes, anamkaripia house girl kama mtumwa wa enzi za utumwa kwa iliyokuwa Tanganyika, we have to change for the sake of our children...
kila binadamu ni katili endapo atachokozwa ndio utajua ukatili wake ukoje...ila tuna zidiana kiwango.
kwa nini lakini,ni lini tutajifunza jinsi ya kusamehe?yote hayo kwa nini?kama yule mtoto yupo hai angeachwa tu
kwa nini lakini,ni lini tutajifunza jinsi ya kusamehe?yote hayo kwa nini?kama yule mtoto yupo hai angeachwa tu
kwa nini lakini,ni lini tutajifunza jinsi ya kusamehe?yote hayo kwa nini?kama yule mtoto yupo hai angeachwa tu