kwa nini lakini,ni lini tutajifunza jinsi ya kusamehe?yote hayo kwa nini?kama yule mtoto yupo hai angeachwa tu
kwa nini lakini,ni lini tutajifunza jinsi ya kusamehe?yote hayo kwa nini?kama yule mtoto yupo hai angeachwa tu
kila binadamu ni katili endapo atachokozwa ndio utajua ukatili wake ukoje...ila tuna zidiana kiwango.
kwa nini lakini,ni lini tutajifunza jinsi ya kusamehe?yote hayo kwa nini?kama yule mtoto yupo hai angeachwa tu
Kusema uongo kwa makusudi ni kosa la jinai. Ona picha hiyo ni ya mwanafunzi(ana sare ya shule), anaonekana alifanyiwa oparesheni utotoni(tazama makovu ni ya muda mrefu). So msitufanye wajinga kama AG, PM, MoEM na wengine wengi tu ktkt ESCROW scandal.