Magema Jr
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 1,299
- 1,201
Uzi huu ni mahususi kwa wapendanao, Marafiki, na watu mbalimbali waliokwaruzana kwa namna moja au nyingine, kuombana msamaha, na kuwiana radhi.
Kumbuka jambo la kukoseana au kukwaruzana ni la kawaida sana katika maisha yetu ya kila siku. Lakini kuhifadhi maumivu moyoni huenda isiwe na faida sana katika maisha yetu.
Hivyo ni wakati sahihi sasa, wapendanao na watu wa karibu mbalimbali kuweza kumaliza tofauti zao hapa. Ushauri pia unatolewa buree.
Naanza mimi kuwasamehe wale woote waliowahi kunitoa nduki inbox!!😂😂, pia wale ninaotofautina nao katika mijadala mbalimbali tafadhali mniwie radhi ndugu zangu
Kumbuka jambo la kukoseana au kukwaruzana ni la kawaida sana katika maisha yetu ya kila siku. Lakini kuhifadhi maumivu moyoni huenda isiwe na faida sana katika maisha yetu.
Hivyo ni wakati sahihi sasa, wapendanao na watu wa karibu mbalimbali kuweza kumaliza tofauti zao hapa. Ushauri pia unatolewa buree.
Naanza mimi kuwasamehe wale woote waliowahi kunitoa nduki inbox!!😂😂, pia wale ninaotofautina nao katika mijadala mbalimbali tafadhali mniwie radhi ndugu zangu