Muogopeni Rostam Aziz kama Corona. Spin Doctors kazini 100%

acha uongo raila hana kampuni ya kuuza gesi,kampuni ya raila inatengeneza mitungi ya gesi tu
 
Dr Slaa ameingia choocha kike nakumbuka Mtikila alimuita Rostam fisadi basi Rostam akaitisha press akaonesha petty cash voucher Mtikila alichukuwa millioni 10 kwa Rostam.

Sikubaliani na matendo ya Rostam lakini kwa hili la Dr Slaa namuunga mkono, wanafki na wasaliti ni lazima wasemwe, hiki kizee Dr Slaa ana tabia ya kujiona ni mtakatifu na clean man wakati hana lolote.

Alivyokuwa Katibu mkuu Chadema aliidhinisha malipo alipwe hawara yake Josephine pesa kibao eti za kutengeneza software, yani kazi ya software ya Chama tenda anampa demu wake.
 
Usijali Tumia akili kesha aandika huko kwamba JAL 1 is done next is 2 and 3!

Hiyo ishu itazimwa tu ni swala la muda tu!!
 
Mkishavuta bangi akili zenu sijui zinakuwaje aisee
 
Rostam, JK na Lowassa ni utatu mtakatifu uliofitinika hapo nyuma na baada ya kuona athari ya usaliti kati yao sasa wameungana tena kuendesha nchi.

Magufuli asingeweza penya kama huu utatu usingevurugika na baada ya kujiunga tena the rest is history!

Samia awe makini sana vinginevyo atageuka historia.
 
Umeandika hisia tu hakuna fact. Na kwa Ujinga wako umemleta Mtikila ambaye sisi wakongwe tunamfahamu kwa ukaribu sana. Unaandika andika vitu vya kufikirika halafu unataka tu ku treat kama mtu mwenye akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…