Muogope sana 'ex' wa mpenzi wako

Muogope sana 'ex' wa mpenzi wako

Mm mpaka sasa ...nina X 67 kati ya hao 14 wameolewa...lakin nikitaka yyte yule napiga simu siku mbil tatu na napasha kama kawa.....mfano week iliyopita nilikuwa mishi kikaz nikampigua simu ex wang no 5...mumewe nikatambulishwa ndugu yake....after kesho yake demu kaja hotel nikapasha na nimerud mwepesi...na mmewe kanitumia nauli



Hapo hamna ujanja mla huliwa
 
Pema ni pema usipopema,ukipema si pema tena! Wala ma 'ex' mtambue hilo.
 
Hahahahahah really?

Yeah boss, Kama nikigundua anachepuka na mpenzi wake wa zamani naweza nisiumie sana. Ila nigundue kuwa anachepuka na mtu ambaye kaja baada yangu. Aisee, itakuwa hapatoshi.
 
Hahahaha wenyewe wanasewa kupasha moto kiporo hakihitaji moto mwingi,hata moto wa sigara unatosha.
 
Ex anaeza kupasha kiporo muda wowote na mpnz wako
Ata kama waliachana kwa ugomvi lakn they had good moments pia, so wakimiss watakumbushia tu
Akili za kiboya hizo.... mwamke hachungwi. we play part yako tu.
 
Back
Top Bottom