Muogope sana 'ex' wa mpenzi wako

Muogope sana 'ex' wa mpenzi wako

Hujuagi kuwa mkojo unaweza ukawa kama maji au juice jangwani pale ambapo kiu imekukamata na hakuna chanzo chochote cha maji,,co mbaya mkikumbushia
Safari ya kwenda kinyumenyume hufiki, ukiamua safari elekeza mawazo, akili, nafsi na macho uendako, biashara ya kurudi nyuma hufiki
 
everything you have heard its true. mr bean.
 
inategemea na sabb mlizoachana km za kitoto lazima mkumbushie enzi
 
Ex anaeza kupasha kiporo muda wowote na mpnz wako
Ata kama waliachana kwa ugomvi lakn they had good moments pia, so wakimiss watakumbushia tu

Dear is anything new from Exes?? Why some people are going back to their exes ? If it didn't work before , what makes them think it will work now then? .... Huku ni kutojitambua.. Thanks..
 
Ilo neno zuri sana mkuu kuna jamaa eti huyu jamaa walisoma nae chuoni haina shida nkajua tayari wanamchimbia dhahabu nkasikitika tu nkasema 'haya'
 
Inawezekana sana,ukioa au kuwa na dem sio kwamba we ndio mmiliki,kumbuka yupo mmiliki halali na wewe ni mwizi tu kugongewa ni siri ya ndani.
 
ex ndio mdudu gani..?sikumbuki jina wala sura..siwezi kutunza uchafu kwenye bichwa langu
 
Mm mpaka sasa ...nina X 67 kati ya hao 14 wameolewa...lakin nikitaka yyte yule napiga simu siku mbil tatu na napasha kama kawa.....mfano week iliyopita nilikuwa mishi kikaz nikampigua simu ex wang no 5...mumewe nikatambulishwa ndugu yake....after kesho yake demu kaja hotel nikapasha na nimerud mwepesi...na mmewe kanitumia nauli
hii ingeandikwa na mwanamke angevamiwa vibaya mno
haya unialike siku ya ubarikio wa kutoa marinda ya sketi,jitahidi wakuachie moja la kudakia...
 
Kipimo unachompimia mwenzako ndicho hicho hicho utakachopimiwa so na wewe pia iko siku yako
Mm mpaka sasa ...nina X 67 kati ya hao 14 wameolewa...lakin nikitaka yyte yule napiga simu siku mbil tatu na napasha kama kawa.....mfano week iliyopita nilikuwa mishi kikaz nikampigua simu ex wang no 5...mumewe nikatambulishwa ndugu yake....after kesho yake demu kaja hotel nikapasha na nimerud mwepesi...na mmewe kanitumia nauli
 
Mbona mnataka kujitoa hofu y kugongew c kitu yke acha ampe huyo x wke
 
X atabakia kua X na kurudi kwake asahau kwanza hata kukutana nae si wish nimuone ...
 
X atabakia kua X na kurudi kwake asahau kwanza hata kukutana nae si wish nimuone ...
X x x huyu mbona mtata hivi,mbona anachukiwa hivi, wakati nae ana mchango katika kukukomaza kimahusiano yeye ni kama foundation ya mahusiano ulionayo sahivi bado x ni muhimu
 
Kwa X haitouma sana. Ila nikigundua kuna mpya kampata, patachimbika
 
Back
Top Bottom