Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
itabidi wote tuwape kile kitabu wakikojolee ili wageuke panya
Munishi akiwa nakabidhi kadi ya uanachama kwa mwanachadema mpya nchini Uingereza hivi karibuni
Wenje na Munishi wakiwa na baadhi ya wanachama wa Chadema tawi la Uingereza.
Munishi akiwa nakabidhi kadi ya uanachama kwa mwanachadema mpya nchini Uingereza hivi karibuni
Wenje na Munishi wakiwa na baadhi ya wanachama wa Chadema tawi la Uingereza.
itabidi wote tuwape kile kitabu wakikojolee ili wageuke panya
Katibu Mkuu wa BAVICHA amesema kuwa kama vijana wa Chadema na chama kwa upana wake hawatakuwa tayari kuona serikali ya Tanzania inaendelea kuwa chini ya PANYA na October 2015 ndio mwisho wao.
Munishi alitoa kauli hiyo ijumaa ya wiki iliyopita jijini Londoni alipokuwa akizungumza na wanachadema Tawi la Uingereza ambapo pia aliongozana na Mkurugenzi wa Mambo ya Nje wa CHADEMA na Mbunge wa Nyamagana Ezekia Wenje. Munishi alisisitiza wao kama vijana watabeba dhamana ya kuhakikisha hilo halitokei kamwe.
Source: Ukurasa wa wa kitabu uso wa Munishi.
My take;
Munishi alikua akimjibu Januari Makamba aliyesema CCM haitakubali serikali kuwa chini ya upinzani na pia kutumia neno.
Maana yake uchguzi mkuu 2015 hapatatosha
Katibu Mkuu wa BAVICHA amesema kuwa kama vijana wa Chadema na chama kwa upana wake hawatakuwa tayari kuona serikali ya Tanzania inaendelea kuwa chini ya PANYA na October 2015 ndio mwisho wao.
Munishi alitoa kauli hiyo ijumaa ya wiki iliyopita jijini Londoni alipokuwa akizungumza na wanachadema Tawi la Uingereza ambapo pia aliongozana na Mkurugenzi wa Mambo ya Nje wa CHADEMA na Mbunge wa Nyamagana Ezekia Wenje. Munishi alisisitiza wao kama vijana watabeba dhamana ya kuhakikisha hilo halitokei kamwe.
Source: Ukurasa wa wa kitabu uso wa Munishi.
My take;
Munishi alikua akimjibu Januari Makamba aliyesema CCM haitakubali serikali kuwa chini ya upinzani na pia kutumia neno.
Maana yake uchguzi mkuu 2015 hapatatosha
Hii imekaa njema na inatia moyo. Keep it up men.
Msema kweli yuko njiani na siyo mwingine zaidi ya 2015!
ccm ilizaliwa 1977
zika rasmi...... 2015
Katibu Mkuu wa BAVICHA amesema kuwa kama vijana wa Chadema na chama kwa upana wake hawatakuwa tayari kuona serikali ya Tanzania inaendelea kuwa chini ya PANYA na October 2015 ndio mwisho wao.
Munishi alitoa kauli hiyo ijumaa ya wiki iliyopita jijini Londoni alipokuwa akizungumza na wanachadema Tawi la Uingereza ambapo pia aliongozana na Mkurugenzi wa Mambo ya Nje wa CHADEMA na Mbunge wa Nyamagana Ezekia Wenje. Munishi alisisitiza wao kama vijana watabeba dhamana ya kuhakikisha hilo halitokei kamwe.
Source: Ukurasa wa wa kitabu uso wa Munishi.
My take;
Munishi alikua akimjibu Januari Makamba aliyesema CCM haitakubali serikali kuwa chini ya upinzani na pia kutumia neno.
Maana yake uchguzi mkuu 2015 hapatatosha
Katibu Mkuu wa BAVICHA amesema kuwa kama vijana wa Chadema na chama kwa upana wake hawatakuwa tayari kuona serikali ya Tanzania inaendelea kuwa chini ya PANYA na October 2015 ndio mwisho wao.
Munishi alitoa kauli hiyo ijumaa ya wiki iliyopita jijini Londoni alipokuwa akizungumza na wanachadema Tawi la Uingereza ambapo pia aliongozana na Mkurugenzi wa Mambo ya Nje wa CHADEMA na Mbunge wa Nyamagana Ezekia Wenje. Munishi alisisitiza wao kama vijana watabeba dhamana ya kuhakikisha hilo halitokei kamwe.
Source: Ukurasa wa wa kitabu uso wa Munishi.
My take;
Munishi alikua akimjibu Januari Makamba aliyesema CCM haitakubali serikali kuwa chini ya upinzani na pia kutumia neno.
Maana yake uchguzi mkuu 2015 hapatatosha
Kazi za ukweli zinafanywa na watu wa ukweli kwa watu wa ukweli. Bravoo Wenje na Munishi kwa kazi nzuri Uingereza
Kwa nini aende kusemea ughaibuni?
Munishi akiwa nakabidhi kadi ya uanachama kwa mwanachadema mpya nchini Uingereza hivi karibuni.
Mbona huyo Munishi kafanana na Mbowe hivyo? Je wana undugu wowote? Embu nijuzeni jamani kwa sababu nimekua nikijiuliza sana hili swali.