Mungu wangu kanionesha mtu muhimu akiwa katika umauti.

Mungu wangu kanionesha mtu muhimu akiwa katika umauti.

4 7mbatizaji

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2019
Posts
11,301
Reaction score
12,952
Wakuu kwema rejea habari hapo juu, ndivyo ilivyo kuna code amenipa Mungu siwezi zitoa hapa maana nikizitoa wachungaji na manabii uchwara watazichukua na kunena watakayo.

Nimeoneshwa mtu ajiitae mkubwa yupo katika mauti nikajaribu msadia zikatoka farasi kumi wamebeba watu 10 wakitaka nishambulia, kwanini nataka toa msaada kwa uyu mtu, na kupewa onyo kali ila sauti ya mwisho toka kwa watu walio juu ya farasi wakasema nisirudie tena msaidia mtu uyu

Mungu wangu mwanifu Sana Tunzeni hii,

Naogopa sana acha Mungu awe Mungu hakuna mbadala
 
Wakuu kwema rejea habari hapo juu , ndivyo ilivyo , kuna code amenipa Mungu siwezi zitoa hapa maana nikizitoa wachungaji ,manabii uchwa ra watazichukua na kunena watakayo.

Nimeoneshwa mtu ajiitae mkubwa , yupo katika mauti , nikijaribu msadia , zikatoka farasi kumi , zimebeba watu 10 wakitaka nishambulia, kwanini nataka toa msaada kwa uyu mtu, na kupewa onyo kali , ila sauti ya mwisho toka kwa watu walio juu ya farasi wakasema nisirudie tena msaidia mtu uyu ,

Mungu wangu ,mwanifu Sana Tunzeni hii,

Naogopa sana , acha Mungu awe Mungu hakuna mbadala
mtu muhimu ??? kwamba kuna watu ambao sio muhimu??.............(ulimwengu wa manabii na mitume uchwara huu ni shida tupu) et mtu muhimu

itoshe kusema una akili robo.
 
  1. Umauti Hauhitaji Maono
  2. Umauti Hauzuiliki
  3. Umauti Hauna Cha Ukuu
  4. Umauti Hauombwi
  5. Umauti Hauna Huruma
  6. Umauti Ni Kwa Kila Kilicho Hai.........Umauti Ni Lazima Utokee Tu......Umauti Auhitaji Utabiri Wala Maono,,Wala Kuoteshwa Sijui,, Kwa Kuwa Ni Jambo Ambalo Lazima Litokee Tuu Taka Usitake.....!!!
 
  1. Umauti Hauhitaji Maono
  2. Umauti Hauzuiliki
  3. Umauti Hauna Cha Ukuu
  4. Umauti Hauombwi
  5. Umauti Hauna Huruma
  6. Umauti Ni Kwa Kila Kilicho Hai.........Umauti Ni Lazima Utokee Tu......Umauti Auhitaji Utabiri Wala Maono,,Wala Kuoteshwa Sijui,, Kwa Kuwa Ni Jambo Ambalo Lazima Litokee Tuu Taka Usitake.....!!!
Haina shida ,tunza hii mkuu
 
Wakuu kwema rejea habari hapo juu, ndivyo ilivyo kuna code amenipa Mungu siwezi zitoa hapa maana nikizitoa wachungaji na manabii uchwara watazichukua na kunena watakayo.

Nimeoneshwa mtu ajiitae mkubwa yupo katika mauti nikajaribu msadia zikatoka farasi kumi wamebeba watu 10 wakitaka nishambulia, kwanini nataka toa msaada kwa uyu mtu, na kupewa onyo kali ila sauti ya mwisho toka kwa watu walio juu ya farasi wakasema nisirudie tena msaidia mtu uyu

Mungu wangu mwanifu Sana Tunzeni hii,

Naogopa sana acha Mungu awe Mungu hakuna mbadala
Duh!. .
 
Wakuu kwema rejea habari hapo juu, ndivyo ilivyo kuna code amenipa Mungu siwezi zitoa hapa maana nikizitoa wachungaji na manabii uchwara watazichukua na kunena watakayo.

Nimeoneshwa mtu ajiitae mkubwa yupo katika mauti nikajaribu msadia zikatoka farasi kumi wamebeba watu 10 wakitaka nishambulia, kwanini nataka toa msaada kwa uyu mtu, na kupewa onyo kali ila sauti ya mwisho toka kwa watu walio juu ya farasi wakasema nisirudie tena msaidia mtu uyu

Mungu wangu mwanifu Sana Tunzeni hii,

Naogopa sana acha Mungu awe Mungu hakuna mbadala
Rubbish!!unisamehe rafiki. Wewe ni mtu wa hoja , facts, evidence and not myths, beliefs and the like!
 
Back
Top Bottom