Mungu wa kweli hahitaji haya tunayoaminishwa

Hata mungu aliumba ulimwengu kwa kujitolea ni sadaka, kunyesha kwa mvua ili maji yajaze mito, mimea ipateota, wanyama wale mimea na kunywa maji, na binadamu aweze kuwa nyama, kula mimea, kunywa na kuoga maji ni Sadaka. Sadaka ni Guludumu, Binadamu ni nani aache kutoa sadaka na Zaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Matokeo ya mechi yanajulikana , kuna haja gani ya kuingiza team uwanjani ? wewe jitoe akili tu Mungu anafahamu firauni kabla ata ajamuumba kuwa atakuwa mtu wa jeuri, sasa firauni ana ubavu gani wa kubadilisha kile Mungu alichotaka kuwa awe mtu jeuri? wewe rukaruka lakini utachezea sana za uso hapa ahahaahahahahahahajajjajj unaleta mifano ya kitoto kwenye mambo yaliyokuzidi umri
 


Ingiza team tu usiwe na khofu, watazamaji wanayohamu ya kuuona mechi,

Sasa kama hilo ndilo swali lako, mbona nilishakujibu, kwamba Mungu kujua kwake kama Firauni angekuwa muovu hakuhusiani kabisa na yeye Firauni kuwa muovu, nikakupa mfano (counter argument) kwamba kama ingalikuwa kujua kwa Mungu kwamba fulani atakuja kuwa muovu kabla hajamuumba ni Mungu anatakiwa abebe makosa ya huyo mtu basi hata kwa mtu mwema pia Mungu angepaswa apewe thawabu pia, kwanini wewe umeshikilia tu kwa ajili ya mtu muovu??, au wewe nawe ni mtu muovu nini??!!.

Uovu au wema wa mtu hutokana na dhamira ya matendo yake mwenyewe na hapo Mungu hausiki japo anajua kabla mtu huyo hajatenda chochote hata kabla hajamuumba.

Angalia huu mfano, wewe umeandika maneno hapo juu kunijibu hebu niambie ni nani aliyekushurutisha kuandika??, kama yupo toa ushahidi.

Mwishowe yakupasa ujue hekima ya wewe kuwepo hapa duniani, na hekima ya hatima yako baada ya kuondoka duniani ukufahamu mambo hayo wala maswali madogo unayouliza hutouliza tena.

Pia Kumbuka "cause and effect" phenomenon.
 
Team naingiza ila nawachosha maana hawawezi badili matokeo "; Ahahahahahhhaahahahaha
HALAFU ; mbona huyu Mungu unamshusha labda nikuulize swali jepesi maana unatia huruma, Mungu alikua anafahamu firauni ni mtu wa motoni kabla ajamuumba au baada ya kumuumba ? utaelewa tu
 



Alikuwa anajua, kwasababu sifa yake ni kutokuwa na muda (a reference time frame) yaani yeye hana muda uliopita, muda wa sasa na muda ujao, yeye kwake muda ni uleule (kitu kimoja) ndiyo maana anajua ya kabla, ya sasa na ya baada ya kuumba----na hiyo ndiyo sifa ya Mungu ambayo ha- share na yeyote.

Kumbuka, kujua kwake kabla hajaumba hakuna mahusiano yoyote na matendo ya mtu. (There is no cause and effect phenomenon in that case), ni hivi, cause and effect ni kama: kunywa sumu na kufa, kunywa sumu ni "cause" na kufa ni "effect" kwa hiyo kuna mahusiano kati ya sumu na kifo. Nadhani kwa mfano huo utakuwa umeelewa nini maana ya "cause and effect" (sababu na matokeo).

Nataraji hutaulizwa tena swali kama hilo.
 
Unadhani misikiti na makanisa yataendeshwa vipi tusipotoa zaka na sadaka?
masheikh na mapadre watakula wapi?
Yesu na mitume wengine wa zamani walikula vip?. Jamaa alibadili mikate mitano na samakii wawili na kulisha maelfu mkuu. KWA SASA HV KAZI WALIZOFANYA MITUME WA ZAMANI BURE LEO HII WATU WANAFANYA TENA KWA MALIPO YA JUU SANA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Braza embe acha bange yaani Mungu anajua firauni anaenda motoni halafu ashindwe kujua ni kitu gani kitamfanya aende motoni ? cause and effect ni kwako wewe sio Mungu ,ahahahhaahahajaajajjaa Mungu anajua mpaka lita ngapi za maji utakunywa , punje ngap za mchele utakula halafu uniambie "kujua kwake kabla hajaumba hakuna uhusiano yeyote na matendo ya mtu"; wewe una mshusha Mungu hadhi kabisa, kujua kwake kuna uhusiano na matendo ya mtu kabisa vinginevyo huyo Mungu ajui future
 




Mbona unaifagilia bangi sana, au unavuta??!!,

Umeshaelewa somo ila naona kilichobakia ni mbwembwe tu, huna hoja tena.
 
Mbona unaifagilia bangi sana, au unavuta??!!,

Umeshaelewa somo ila naona kilichobakia ni mbwembwe tu, huna hoja tena.
Braza acha kurukaruka jibu swali , inawezekana vip Mungu ajue firauni anaenda motoni , halafu asiweze kujua vitu gani vitampeleka motoni? huyo Mungu unae msema wewe hajui future ahahahahahaahha ni sawa na kusema Mungu huyo anajua matokeo lakini wafungaji wa magoli hawajui !! Braza acha vituko
 
Wakasema ni lini ulikuwa uchi hatukuvisha nguo ni lini ulikuwa na njaa hatukulisha
 


Nasema hivi kama wewe ni bado mwanafunzi basi huko Shuleni ni kilaza, lakini kama ulishamaliza shule/chuo basi ulikuwa kilaza au uliwasumbua sana walimu wako.
Sijui kama unao uelewa wa kutosha;, Mimi nilisema hivi katika posts za nyuma kuwa Mungu hana muda kama tulionao sisi binadamu, Yeye muda wake ni mmoja tu, yaani hana jana, leo au kesho, yeye jana,leo na kesho ni kitu kimoja ndiyo maana anajua kila kitu kilivyokuwa, kilivyo sasa na kitakavyokuwa hapo baadaye, kwa msingi huo Mungu anajua kila kitu, mfano hata wewe kama utavuta bangi kwa hiyari yako miaka kadhaa ijayo, basi Mungu anajua sasa hivi na anajua hadi mtu atakayekuuzia na anajua ela ya kununulia utapata wapi na vipi nk,


Ndiyo maana anaitwa "al ghuyuub".yaani mwenye elimu ya ghaibu.

Kama hutoelewa hapo niambie wewe ni kabila gani, labda nitakuwa najua kilugha chako ili nikufahamishe kwa kilugha chako huenda ukafahamu vyema "for we are told by psychologists that a person understands better in his mother tongue language".


Umeshaelewa nini maana ya "cause and effect",na ushaelewa kuwa Kujua kwa Mungu juu ya mabaya au mema atakayotenda mtu hayahusiani na Mungu kujua hiyo mabaya na mema ya mtu.

Nasubiri uulize swali hili:- kwanini Mungu aumbe mtu anayejua kuwa atakuwa muovu???😁😁😁
 
Jokajeusi lipo kazini, hiyo mada inaakisi jina lako, yaani hoja zako nizakimpinga kristo sijui umelitambua hilo au umeandika tu.

Kama binadamu sisi kwa sisi tunaombana kwanini tusimuombe Mungu ili naye atupe yale ambayo unazani binadamu mwenzangu hawezi kunisaidia.

Unaposema kafara haitajiki, umeshajiuliza waganga wamekopi wapi kutoa kafara ili kuwasaidia wateja wao wanapoleka maombi ya shida zao, kwamba bila kafara mganga hafanyi Kazi yako, umeshajiuliza why?

Unahitaji kujitazama upya kama umaanisha kweli hiki ulichokoposti bado unanafasi ya kujilekebisha, always Mungu hutupa second chance to repent kabla ule mwisho haujafika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
UMEPATIA 2,3,NA 4. KATIKA NAMBA MOJA RUDI KASOME QUR'AN TENA AU BIBLE TENA! SAWA MKUU?
 
NADHANIA ATAKUWA ANATANGAZA U-ATHEIST HUYO KAMA LAKINI SINA UHAKIKA ETI!
 
Ahahahahaaaahahhahhaaha braza mbona unalalamika badala ya kujibu ulichoulizwa

1. Inawezekana vip Mungu ajue idadi ya magoli halafu asijue atafunga nani hayo magoli ? huyu Mungu kama Yupo aje huko TUBET nae , maana anabahatisha kama sisi huku mtaani, hata sisi tunampa ushindi livarpool lakini wafungaji hatuwajui mpaka mpira uishe , kama huyo Mungu wako ahahahahaaaahaaaaaaha

2.Mungu anajua wazi firauni anakwenda motoni kabla ajamuumba, halafu ashindwe kujua kipi kitampeleka motoni?
Huyo Mungu unae mzungumzia atakuwa ana BET kama wabashiri wengine , umekalia cause and effect , ujinga mtupu, yaani Mungu ajue wewe utakwenda motoni halafu sababu asiijue huyo atakua sheikh yahaya sio Mungu ahahahhha ahaahhhhhahaha komaa hapa acha kulialia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…