MAFILILI
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 2,377
- 1,194
Twasubiri miujiza ya mwenyezi mungu ili tupate okoka katika lundo la kashfa na tuhuma mitaani na bungeni. Mie leo nimepata taabu kusikiliza mazungumzo ndani ya daladala toka Gongo la Mboto hadi Posta; njia yote ni kukisema vibaya chama chetu tukipendacho CCM. Ilikuwa ni kushindana kutoa msururu wa kashfa dhidi ya CCM kana kwamba chama chetu hakijafanya jambo lolote la maana kwa watanzania. Ilibidi Tazara nishuke katika lile daladala nichukue bodaboda kwani uvumilivu ulikuwa mdogo, wasafiri hawana na neno zuri kwa CCM niipendayo.
Mungu toa nguvu kwa viongozi wetu waamuke na kufanya mageuzi ndani ya CCM ilu mvuto urudi kama enzi za mwalimu.
MUNGU SAIDIA CCM ili WATZ wafunguke warudi tena chamani
Mungu toa nguvu kwa viongozi wetu waamuke na kufanya mageuzi ndani ya CCM ilu mvuto urudi kama enzi za mwalimu.
MUNGU SAIDIA CCM ili WATZ wafunguke warudi tena chamani