palalisote
JF-Expert Member
- Aug 4, 2010
- 8,335
- 1,455
Pinda anazidi kujidhalilisha. Hata kama ni kuwa na heshima wakati mwingine km mwanaume anatakiwa kuonyesha kuwa ana weza. Ni mambo mangapi ameshindwa kutamka kama PM akiwa anamsubiri Mzee wa Kutembea.
Kwa kweli CCM sasa inaonekana kama chama cha upinzani, watu wamekosa imani hasa vijana kila tusi kwa CCM
Mama tunu naye ameingia kwenye malipo kwa hisani ya wamarekani!
Eee Mungu niweke hai mpaka 2015, nishuhudie kwa macho yangu jinsi CCM itakavyokuwa chama cha upinzani.
AMEN
Eee Mungu niweke hai mpaka 2015, nishuhudie kwa macho yangu jinsi CCM itakavyokuwa chama cha upinzani.
AMEN