rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Kiburi cha CCM na maneno ya kashfa yanayotamkwa bungeni juu wa Wabunge na chama cha Chadema yamenifanya nimwombe Mungu kwa nguvu zote atupe maisha marefu tuone jinsi mwisho wa CCM utakavyokuwa.
Wakuu nimeangalia kipindi cha Bunge jana sikuamini masikio yangu jins wabunge wa Cuf na ccm walivyotoa madharau kwa Chadema.
Kama kweli hii ni Katiba ya Watanzania kwa nini yote hayo yatokee?
Mungu atujalie maisha marefu tuone huo mwisho wao utakuwaje. Je, itakuwa kama Gaddafi kuchomekwa majiti au itakuwa kama Syiria?
Wakuu nimeangalia kipindi cha Bunge jana sikuamini masikio yangu jins wabunge wa Cuf na ccm walivyotoa madharau kwa Chadema.
Kama kweli hii ni Katiba ya Watanzania kwa nini yote hayo yatokee?
Mungu atujalie maisha marefu tuone huo mwisho wao utakuwaje. Je, itakuwa kama Gaddafi kuchomekwa majiti au itakuwa kama Syiria?