R Retired JF-Expert Member Joined Jul 22, 2016 Posts 52,049 Reaction score 101,837 Jun 21, 2026 #1 Angelikuwa Mungu ni mmoja, huyu asingeli ruhusu ya 29.10.2025 yatokee. Angelimuogopa Mungu aliyemfumbia mikono kwa unyenyekevu mkubwa! Attachments 20260621_215726.jpg 98.5 KB · Views: 9
Angelikuwa Mungu ni mmoja, huyu asingeli ruhusu ya 29.10.2025 yatokee. Angelimuogopa Mungu aliyemfumbia mikono kwa unyenyekevu mkubwa!
Fbn JF-Expert Member Joined Jul 31, 2016 Posts 15,762 Reaction score 37,393 Jun 21, 2026 #2 swali waulize usalama condom watoto wake watuonueshea dole za dolale
Yoda JF-Expert Member Joined Jul 22, 2018 Posts 63,210 Reaction score 106,561 Jun 21, 2026 #3 Retired said: Angelikuwa Mungu ni mmoja, huyu asingeli ruhusu ya 29.10.2025 yatokee. Angelimuogopa Mungu aliyemfumbia mikono kwa unyenyekevu mkubwa! Click to expand... Mungu mmoja ni lugha ya wanasiasa tu watu wakae kwa amani, umoja na kushirikiana wasivurugane ikawa vigumu kuwatawala.
Retired said: Angelikuwa Mungu ni mmoja, huyu asingeli ruhusu ya 29.10.2025 yatokee. Angelimuogopa Mungu aliyemfumbia mikono kwa unyenyekevu mkubwa! Click to expand... Mungu mmoja ni lugha ya wanasiasa tu watu wakae kwa amani, umoja na kushirikiana wasivurugane ikawa vigumu kuwatawala.
Mbaga Jr JF-Expert Member Joined May 28, 2018 Posts 52,615 Reaction score 127,563 Jun 21, 2026 #4 Labla mungu wake alitaka damu 😎
Pulchra Animo Platinum Member Joined Jun 16, 2016 Posts 8,416 Reaction score 14,719 Jun 21, 2026 #5 Retired said: Angelikuwa Mungu ni mmoja, huyu asingeli ruhusu ya 29.10.2025 yatokee. Angelimuogopa Mungu aliyemfumbia mikono kwa unyenyekevu mkubwa! Click to expand... Fazafaka ni mcha Iblis!
Retired said: Angelikuwa Mungu ni mmoja, huyu asingeli ruhusu ya 29.10.2025 yatokee. Angelimuogopa Mungu aliyemfumbia mikono kwa unyenyekevu mkubwa! Click to expand... Fazafaka ni mcha Iblis!
L Lukenya JF-Expert Member Joined Mar 17, 2024 Posts 880 Reaction score 1,202 Jun 21, 2026 #6 Retired said: Angelikuwa Mungu ni mmoja, huyu asingeli ruhusu ya 29.10.2025 yatokee. Angelimuogopa Mungu aliyemfumbia mikono kwa unyenyekevu mkubwa! Click to expand... Mungu mkuu wakuabudiwa ni Yehova pekee, Mungu wa Ibrahim,Isaka na Yakobo. Aliyeziumba mbingu na nchi,na vyote vinavyoonekana na visivyoonekana. Anayetawala vyote mbinguni na duniani.
Retired said: Angelikuwa Mungu ni mmoja, huyu asingeli ruhusu ya 29.10.2025 yatokee. Angelimuogopa Mungu aliyemfumbia mikono kwa unyenyekevu mkubwa! Click to expand... Mungu mkuu wakuabudiwa ni Yehova pekee, Mungu wa Ibrahim,Isaka na Yakobo. Aliyeziumba mbingu na nchi,na vyote vinavyoonekana na visivyoonekana. Anayetawala vyote mbinguni na duniani.