K KIRIKIOU JF-Expert Member Jan 28, 2014 241 56 Jul 11, 2014 #1 Hivi huu msemo ulitokana na nini.,? Historia yake ikoje...(yani kwa nini athumani na si jina lingine)
Hivi huu msemo ulitokana na nini.,? Historia yake ikoje...(yani kwa nini athumani na si jina lingine)
Amalinze JF-Expert Member May 6, 2012 6,784 5,285 Jul 11, 2014 #2 Athumani ni jina la mtu,kwahiyo mungu si athumani maana yake god is not like human being,mungu upenda wote habagui kama athumani(john doe-mtu).
Athumani ni jina la mtu,kwahiyo mungu si athumani maana yake god is not like human being,mungu upenda wote habagui kama athumani(john doe-mtu).
Khantwe JF-Expert Member Dec 20, 2012 59,410 119,115 Jul 11, 2014 #3 Ni jina tu limechaguliwa waweza kusema Mungu si KIRIKIOU Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Ketamine JF-Expert Member Jun 16, 2014 825 785 Jul 11, 2014 #4 Athumani alikuwa mwizi maarufu sana wa riziki za watu hapo zamani.