Dony Mushi
New Member
- Aug 8, 2019
- 1
- 3
Mungu ni neno...nikimaanisha ni muunganiko wa herufi M, irabu U , herufi N, herufi G na Mwisho Tena irabu U, ...neno hili ni ishara, ishara hii Ina maana...maana hii Mara nyingi huwa Ina taswira Fulani au mtazamo Fulani....
Mtazamo au taswira hii, huundwa kwenye akili...Na Mungu Mmoja yupo katika lugha, ila maana inayoumbwa na watu ni taswira tofauti Kati ya MTU na MTU....je ni kosa kusema Mungu mmoja hayupo Bali ni matamshi TU? ..
.Ni kosa kusema Hamna anayejua lolote hata yule aliyeunda neno Mungu na waliotufundisha maana ya neno hilo.... ukweli haupo....uongo Pia Haupo....Bali Kuna taarifa zinazojaribu kuelezea uhalisia...Elewa Kauli taarifa....Kauli halisi...zote ni Kauli sio uhalisia
Mtazamo au taswira hii, huundwa kwenye akili...Na Mungu Mmoja yupo katika lugha, ila maana inayoumbwa na watu ni taswira tofauti Kati ya MTU na MTU....je ni kosa kusema Mungu mmoja hayupo Bali ni matamshi TU? ..
.Ni kosa kusema Hamna anayejua lolote hata yule aliyeunda neno Mungu na waliotufundisha maana ya neno hilo.... ukweli haupo....uongo Pia Haupo....Bali Kuna taarifa zinazojaribu kuelezea uhalisia...Elewa Kauli taarifa....Kauli halisi...zote ni Kauli sio uhalisia