Mungu na vifo vya binadamu

Nameless-

Member
May 21, 2009
47
1
Wakuu kuna misemo naisikia mara nyingi hususan katika misiba na sielewi hasa maana yake, mwenye uelewa eneo hili naomba anieleweshe. Mfano, mtu anaposema "Tulimpenda zaidi huyu (yaani marehemu) lakini Mungu kampenda zaidi" Hivi Mungu anapenda mauti yatukute wanadamu? Hii kauli huwa inanitatanisha na hasa ninapoambiwa ktk misiba niliyopoteza ndugu zangu.
 
mmh Nikitoka Lunch nitakuja ...
Nadhani mungu anakuwa ameamua kuvuna katika shamba lake
 
tukiwa matumboni mwa wazazi wetu, tunaweka ahadi na mungu juu ya vifo vyetu, hivyo tunapokufa ni ahadi tulizoweka zimetimia tu, ndio maana wanasema tulikupenda ila mungu amekupenda zaidi. na huu ni msemo kuwafariji ndugu wa marehemu.
 
tukiwa matumboni mwa wazazi wetu, tunaweka ahadi na mungu juu ya vifo vyetu, hivyo tunapokufa ni ahadi tulizoweka zimetimia tu, ndio maana wanasema tulikupenda ila mungu amekupenda zaidi. na huu ni msemo kuwafariji ndugu wa marehemu.

Duh uongo mtakatifu hahahahahaaaa......
 
Back
Top Bottom