Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
Mzee ES,
Hiyo picha ya Jk nyerere na akian Malecela hapo kwa kweli inazidi kuumiza.
Kwa kweli hata heshima tuliyokua nayo enzi zile katika siasa za kimataifa imepotea.Hebu fikiria Nyerere akiwa Rais and Malecela foreign affairs.no wonder even our foreign policies zimebaki zile za Nyerere na Cold war era.
Lakini angalia hivi sasa,i wonder tungekua ktk position gani kama hawa walioko wangekua viongozi katika vita ya kagera,enzi za cold war etc
Mwenyezi Mungu akurehemu Mwalimu,siku moja heshima yetu kama Taifa itarudi.We need to restore aour dignity,we need to reclaim our prestige at the international level.!!!!
Hiyo picha ya Jk nyerere na akian Malecela hapo kwa kweli inazidi kuumiza.
Kwa kweli hata heshima tuliyokua nayo enzi zile katika siasa za kimataifa imepotea.Hebu fikiria Nyerere akiwa Rais and Malecela foreign affairs.no wonder even our foreign policies zimebaki zile za Nyerere na Cold war era.
Lakini angalia hivi sasa,i wonder tungekua ktk position gani kama hawa walioko wangekua viongozi katika vita ya kagera,enzi za cold war etc
Mwenyezi Mungu akurehemu Mwalimu,siku moja heshima yetu kama Taifa itarudi.We need to restore aour dignity,we need to reclaim our prestige at the international level.!!!!