Ricky Blair
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 552
- 1,119
Kama Mungu ni msawa kwanini aliumba wanyama wawindane na kuuana km carnivores(simba, chui, Tiger etc) kula herbivores Km swala, pundamilia etc.
Why not wote angewafanya wale majani tu? Hili swali kwa wenye dini. Sitoenda kwa uonevu wa binadamu coz at least binadamu ana some free will.
Why not wote angewafanya wale majani tu? Hili swali kwa wenye dini. Sitoenda kwa uonevu wa binadamu coz at least binadamu ana some free will.