Ila on the other thought, umakini unatakiwa ktk kuoa hasa unapokuwa na watoto. Binti anaweza jifanya mzuri kabla hajaingizwa ndani; akishafika anakunjua makucha.
Alternatively ampeleke mtoto boarding nzuri mf East Africa Intl school (wanakuwa wachache with close supervision) ili tatizo moja la usimamizi wa shule ya mtoto lipungue wakati anajipanga. Halafu ujenzi, unafanya kipindi upo ukisafiri unasimamisha; bora ujenge kwa miaka 4 lkn sio kwa hasara.
.....ninavyowafahamu wanawake.na ukaoa akiwepo hapo nyumbani hao bata wawili mke mpya na dada yako watakupasua huo ubongo vipande vipande ,naongea kw uzoefu ni heri kufuga mabata 20 kuliko hao wanawake wawili.....
sorry sijamaanisha uchafu hapa be wise a little bit ,hapo unamjumlisha na mama yako na dada zako pamoja na kitundu kilichokuleta duniani ,be little bit smatter ni mfano tubataaa, kumbe wanawake ni wachafu kulikoni bata. Thanx Nivea
wanaopeleka boarding watoto ni sawa na wanaotelekeza barabarani......ndugu ukiwaendekeza watakuharibia wa kucheke !Binafsi sipendi sana boarding kwa watoto wadogo na pia huyo mwanangu anachukia sanReply With Quotea boarding pia.
fukuza huyo dada yako bora lawama kuliko kuishi na majonzi moyoni
bora aumie mtu mmoja kuliko roho 100 zipotee
pole sana kwa kupoteza mke jamani... ila sio vizuri kumtuma huyo mchumba wako kwa sasa tafuta ndugu mwingine akusaidie hadi muoane
Mwenyezi Mungu hana makosa. Haraka sana muondoe huyo dada yako. Akina dada kwa kaka zao ni hatari mno, ni waongo, wanafiki, wanapitisha maneno kupitia kwa mama na kumwendea baba, wagombanishi etc. Kama unakwako, timua huyo dada yako, ni nyoka kwako. Atakuvuruga at any expense brother.
Da pole sana mkuu,nikifikiria mama wa kamBo nasikia uchungu,nikisikia shangazi ndo kaBsa mara chache sana huwa na uBinadamu japo hata mimi naitwa shangazi lakini ningetamani siku amBayo siko duniani mama yangu au mdogo wangu ndo angemtunza mwanangu kiukweli hao najua watakua nauchungu kama amBavyo mimi ningekua nao,kwa upande wakuoa. Nakushauri usifanye haraka kwani anaweza kupretend lakini ndo akishakua mke anaonyesha makucha yake, MuomBe Mungu akupe hekima na busara katika hili. Mungu anakufahamu na atakuongoza
Sent from my BlackBerry 9700 using Jamii forum