SHOOyaKIBABE
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 2,181
- 1,707
no one knows and no one will give you the right answer, Mungu mwenyewe ndiye mwenye majibu.
kuna maswali ambayo hatuwezi kupata majibu kamwe kwa kuwa Mungu hakutaka tuyafahamu hayo, kuna rafiki yangu aliniuliza "watakaofanikiwa kuingia mbinguni, wataongea lugha gani? maana kutakua na wachina, watanzania, wamarekani, wafaransa na wengineo. Je, watakutana na ndugu zao? kama ni mke, atakutana na mumewe aliyetangulia? na kama huyu mke aliolewa tena, huyo mume wa kwanza atafanya nini?"
correct me if Im wrong. Ishmael, Eiyer, Petro E. Mselewa
kuna maswali ambayo hatuwezi kupata majibu kamwe kwa kuwa Mungu hakutaka tuyafahamu hayo, kuna rafiki yangu aliniuliza "watakaofanikiwa kuingia mbinguni, wataongea lugha gani? maana kutakua na wachina, watanzania, wamarekani, wafaransa na wengineo. Je, watakutana na ndugu zao? kama ni mke, atakutana na mumewe aliyetangulia? na kama huyu mke aliolewa tena, huyo mume wa kwanza atafanya nini?"
correct me if Im wrong. Ishmael, Eiyer, Petro E. Mselewa
Last edited by a moderator: