HP1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2012
- 3,362
- 878
Jamaa wawili walikuwa wakisafiri kwa mtumbwi, ghafla mtumbwi wao ukapigwa na dhoruba kali ukapinduka. Jamaa wakatapatapa wakasema "..ee Mungu tusaidie..!". Ghafla wakaona magogo mawili wakayapanda yakawa yanaelekea ufukweni.
Jamaa 1: Tumshukuru Mungu amtusaidia
Jamaa 2: Wala sio Mungu magogo yamejitokeza tu
Mara lile gogo la Jamaa 2 likavunjika akaanza kupiga makele akisema Mungu nisaidie!
Wimbi kubwa likaja na kumsukuma mpaka kwenye ukingo.Akakamata majani akianza kujitoa kwenye maji
Jamaa 1: Mshukuru Mungu
Jamaa 2: Sio Mungu wala nini
Ghafla majani yakang'oka akatumbukia kwenye maji. Akapiga Makelele akisema "..MUNGU HUTANIWI HATA KIDOGO...?"
Jamaa 1: Tumshukuru Mungu amtusaidia
Jamaa 2: Wala sio Mungu magogo yamejitokeza tu
Mara lile gogo la Jamaa 2 likavunjika akaanza kupiga makele akisema Mungu nisaidie!
Wimbi kubwa likaja na kumsukuma mpaka kwenye ukingo.Akakamata majani akianza kujitoa kwenye maji
Jamaa 1: Mshukuru Mungu
Jamaa 2: Sio Mungu wala nini
Ghafla majani yakang'oka akatumbukia kwenye maji. Akapiga Makelele akisema "..MUNGU HUTANIWI HATA KIDOGO...?"