Mungu hana sifa tatu, tu!

Mungu hana sifa tatu, tu!

0.5nic

Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
44
Reaction score
10
Wakuu!
Nimeanzisha uzi huu kujaribu kutoa utetezi kinyume na hoja inayopinga uwepo wa Mungu kwa hoja kwamba ulimwengu huu unathibitisha kwamba 'Mungu mwenye upendo wote, uwezo wote na ujuzi wote' hayupo. Kwa wasiofahamu sana hoja hii ni maarufu pengine kuliko hoja zote zinazopinga uwepo wa Mungu, hivi kwamba imekuwa ikikimbiliwa na wengi wasioamini uwepo wa Mungu kama hoja yao ya msingi.

Kwa utambulisho mfupi mimi ninaamini kwamba Mungu yupo, na kwamba pia ninaamini Ukristo ndiyo dini ya kweli pekee. Haya nimeyatamka ili iwe rahisi kuelewa mtazamo wangu kuhusu hili swala, lakini nisingependa iwe msingi wa mjadala, natamani tujadili kulingana na kichwa cha uzi huu.

Ninataka kukiri kwamba ikiwa tunaoamini uwepo wa Mungu tutalazimishwa kuelezea mambo yote yanayotokea katika ulimwengu huu kwa kutumia sifa tatu tu za Mungu (Upendo, Uwezo na Ujuzi) tutababaika kujibu; tutaweza kutoa majibu kwa baadhi ya mambo, lakini si yote. Yamkini hili limejionesha mara kadhaa watu wanapoulizwa hilo swali.

Lakini hoja yangu ni kuwa tatizo liko kwenye swali lenyewe na si kwa wanaojibu. Ikiwa tutataka kujiburudisha tu kwa mdahalo, tunaweza kuweka swali la Mungu mwenye sifa tatu tu lielezee ulimwengu halisi tunaoishi. Lakini ikiwa tutataka kudadisi kwa undani uwepo wa Mungu aliyeuumba na anayeuongoza ulimwengu huu, lazima tutumie mjumuisho wa sifa zake zote (Mungu halisi) kuelezea mjumuisho wa mambo yote ya ulimwengu huu (ulimwengu halisi)

Mungu halisi ana sifa nyingi mbalimbali, na hizi zote zinahusika wakati wowote anapojihusisha na ulimwengu. Baadhi ni hizi Upendo, Uwezo, Ujuzi, Wema, Utakatifu, Utukufu, Hekima, Wivu, Haki, Mamlaka, Uamuzi Binafsi, Uwepo mahali pote, Maarifa na kadhalika.

Mfano: Tukitaka kujiuliza kwa nini Mungu ameumba jua na kuliweka umbali huo alioliweka, na kulazimisha kutumia sifa tatu tu za Mungu kuelezea, hatutapata jibu (la kuridhisha). Lakini tukiruhusu sifa zaidi, ile kujua kuwa ana 'Hekima na Maarifa' vitatupa jibu.

Jambo hili tunapaswa kulitumia tunapoelezea mambo mengine ya ulimwengu huu kama vile kwa nini kuna magonjwa, maafa na kadhalika ilhali Mungu ni mwenye upendo, uwezo na ujuzi wote. Ni kwa sababu hekima, haki, Uamuzi binafsi na kadhalika vinahusika pia.
 
Hii mijadara hua inaanzishwa ila hitimisho hua haueleweki labda leo mtakua mmekuja na jibu lipya ngoja nitulie nataka nijifunze kitu hapa
 
Mungu ni idea kama idea za kuunda herufi na namba
Wakuu!
Nimeanzisha uzi huu kujaribu kutoa utetezi kinyume na hoja inayopinga uwepo wa Mungu kwa hoja kwamba ulimwengu huu unathibitisha kwamba 'Mungu mwenye upendo wote, uwezo wote na ujuzi wote' hayupo. Kwa wasiofahamu sana hoja hii ni maarufu pengine kuliko hoja zote zinazopinga uwepo wa Mungu, hivi kwamba imekuwa ikikimbiliwa na wengi wasioamini uwepo wa Mungu kama hoja yao ya msingi.

Kwa utambulisho mfupi mimi ninaamini kwamba Mungu yupo, na kwamba pia ninaamini Ukristo ndiyo dini ya kweli pekee. Haya nimeyatamka ili iwe rahisi kuelewa mtazamo wangu kuhusu hili swala, lakini nisingependa iwe msingi wa mjadala, natamani tujadili kulingana na kichwa cha uzi huu.

Ninataka kukiri kwamba ikiwa tunaoamini uwepo wa Mungu tutalazimishwa kuelezea mambo yote yanayotokea katika ulimwengu huu kwa kutumia sifa tatu tu za Mungu (Upendo, Uwezo na Ujuzi) tutababaika kujibu; tutaweza kutoa majibu kwa baadhi ya mambo, lakini si yote. Yamkini hili limejionesha mara kadhaa watu wanapoulizwa hilo swali.

Lakini hoja yangu ni kuwa tatizo liko kwenye swali lenyewe na si kwa wanaojibu. Ikiwa tutataka kujiburudisha tu kwa mdahalo, tunaweza kuweka swali la Mungu mwenye sifa tatu tu lielezee ulimwengu halisi tunaoishi. Lakini ikiwa tutataka kudadisi kwa undani uwepo wa Mungu aliyeuumba na anayeuongoza ulimwengu huu, lazima tutumie mjumuisho wa sifa zake zote (Mungu halisi) kuelezea mjumuisho wa mambo yote ya ulimwengu huu (ulimwengu halisi)

Mungu halisi ana sifa nyingi mbalimbali, na hizi zote zinahusika wakati wowote anapojihusisha na ulimwengu. Baadhi ni hizi Upendo, Uwezo, Ujuzi, Wema, Utakatifu, Utukufu, Hekima, Wivu, Haki, Mamlaka, Uamuzi Binafsi, Uwepo mahali pote, Maarifa na kadhalika.

Mfano: Tukitaka kujiuliza kwa nini Mungu ameumba jua na kuliweka umbali huo alioliweka, na kulazimisha kutumia sifa tatu tu za Mungu kuelezea, hatutapata jibu (la kuridhisha). Lakini tukiruhusu sifa zaidi, ile kujua kuwa ana 'Hekima na Maarifa' vitatupa jibu.

Jambo hili tunapaswa kulitumia tunapoelezea mambo mengine ya ulimwengu huu kama vile kwa nini kuna magonjwa, maafa na kadhalika ilhali Mungu ni mwenye upendo, uwezo na ujuzi wote. Ni kwa sababu hekima, haki, Uamuzi binafsi na kadhalika vinahusika pia.
 
Tatizo la wafia dini hawajui kwamba huyo Mungu anaepewa sifa zote izo alishindwa kuzuia biashara ya utumwa Africa
Watu waliuliwa/kulazimishwa kufuata hizi dini. Lakini bado mnaendelea kumtetea kwamba yupo
*smfh*
 
Tatizo la wafia dini hawajui kwamba huyo Mungu anaepewa sifa zote izo alishindwa kuzuia biashara ya utumwa Africa
Watu waliuliwa/kulazimishwa kufuata hizi dini. Lakini bado mnaendelea kumtetea kwamba yupo
*smfh*
Mambo mengine ni masomo. Hilo la Utumwa ni mojawapo. Yapo mengi tu.. Kuna ulemavu, ufukara, maradhi na kadhalika..
Haya mambo ni kwa wale wenye kutafakari..

Tusibeze, tujifunze.
 
Ni nani aliekudanganya ukristo ndo dini ya kweli? Kwan kuna dini inayoitwa ukristo? Pumbav sana
 
angalai upuuzi wa ukristo


Here’s a pair of verses that are completely incompatible:

And whosoever shall speak a word against the Son of man, it shall be forgiven him: but unto him that blasphemeth against the Holy Ghost it shall not be forgiven. —Luke 12:10

For whosoever shall call upon the name of the Lord shall be saved. —Romans 10:13

1.

Thou shalt not kill. —Exodus 20:13

Thus sayeth the Lord God of Israel, Put every man his sword by his side. and slay every man his brother…companion…neighbor.Exodus 32:27

2.
The first angel sounded, and there followed hail and fire mingled with blood, and they were cast upon the earth: and the third part of trees was burnt up, and all green grass was burnt up. —Revelation 8:7

And it was commanded them that they should not hurt the grass of the earth, neither any green thing, neither any tree; but only those men which have not the seal of God in their foreheads. —Revelation 9:4

3.
Lying lips are an abomination to the Lord. —Proverbs 12:22

The Lord hath put a lying spirit in the mouth of all these thy prophets, and the Lord hath spoken evil concerning thee. —I Kings 22:23

4.
And in the fifth month, on the seventh day of the month…Nebuzaradan…came…unto Jerusalem… —2 Kings 25:8

…in the fifth month, in the tenth day of the month…came Nebuzaradan…into Jerusalem… —Jeremiah 52:12

5.
For by grace are ye saved through faith…not of works. —Ephesians 2:8,9

Ye see then how that by works a man is justified, and not by faith only. —James 2:24

6.
Jehoiachin was eighteen years old when he began to reign, and he reigned in Jerusalem three months. —2 Kings 24:8

Jehoiachin was eight years old when he began to reign, and he reigned three months and ten days in Jerusalem… —2 Chronicles 36:9

7.
For I am the Lord; I change not. —Malachi 3:6

And the Lord repented of the evil which he thought to do unto his people. —Exodus 32:14

8.

For all have sinned, and come short of the glory of God. —Romans 3:23

There was a man…who name was Job; and that man was perfect and upright. —Job 1:1



9.

Submit yourself to every ordinance of man…to the king, as supreme; Or unto governors. —I Peter 2:13

We ought to obey God rather than men. —Acts 5:29

10.

And it was the third hour, and they crucified him. —Mark 15:25

…about the sixth hour…they cried out…crucify him….Then delivered he him therefore unto them to be crucified. —John 19:14-16

11.

Answer not a fool according to his folly, lest thou also be like unto him. —Proverbs 26:4

Answer a fool according to his folly, lest he be wise in his own conceit. —Proverbs 26:5



12.

Let your light so shine before men, that they may see your good works, and glorify your Father which is in heaven. —Matthew 5:16

Take heed that ye do not your alms before men, to be seen of them: otherwise ye have no reward of your Father which is in heaven. —Matthew 6:1

13.

And [Judas] cast down the pieces of silver in the temple, and departed, and went and hanged himself. —Matthew 27:5

Now [Judas] purchased a field with the reward of iniquity; and falling headlong, he burst asunder in the midst, and all his bowels gushed out. —Acts 1:18

14.

Think not that I am come to send peace on earth: I came not to send peace, but a sword. —Matthew 10:34

These things I have spoken unto you, that in me ye might have peace. —John 16:33

15.

And of every living thing of all flesh, two of every sort shalt thou bring into the ark. —Genesis 6:19

Of every clean beast thou shalt take to thee by sevens, the male and his female: and of beasts that are not clean by two, the male and his female. —Genesis 7:2

16.

And after six days Jesus taketh Peter, James, and John his brother, and bringeth them up into an high mountain apart… —Matthew 17:1

And it came to pass about an eight days after these sayings, he took Peter and John and James, and went up into a mountain to pray. —Luke 9:28

17.

Then said Jesus unto him, Put up again thy sword into his place: for all they that take the sword shall perish with the sword. —Matthew 26:52

Then said he unto them, But now, he that hath a purse, let him take it, and likewise his scrip: and he that hath no sword, let him sell his garment, and buy one. —Luke 22:36

18.

Therefore Michal the daughter of Saul had no child unto the day of her death. —II Samuel 6:23

But the king took the two sons of Rizpah…and the five sons of Michal the daughter of Saul. —II Samuel 21:8

19.

Rejoice not when thine enemy falleth, and let not thine heart be glad when he stumbleth: —Proverbs 24:17

The righteous shall rejoice when he seeth the vengeance: he shall wash his feet in the blood of the wicked. —Psalms 58:1

na nyongeza hii;

1. Genesis 32:30 and numbers 14:14
Men have seen god

John 1:18
No man has seen god

2. Jeremiah 3:12
God does not keep anger forever

Jeremiah 17:4
God does keep anger forever

3. Mathew 1:20
Angel appeared to joseph

Luke 1:28
Angel appeared to mary

4. Mathew 8:5
Centurion came to jesus

Luke 7:3
Centurion sent his elders

5. Mathew 4:5-8
Satan took Jesus to temple and then mountain

Luke 4:5-9
Satan took Jesus to mountain and then temple

6. Mathew 20:29
Two blind men were healed on the road

Mark 10:46-47
One blind man was healed on the road

7. Luke 2

jesus was born during the rule of cynerius

Mathew 2

Jesus was born during the rule of herod
 
Wakuu!
Nimeanzisha uzi huu kujaribu kutoa utetezi kinyume na hoja inayopinga uwepo wa Mungu kwa hoja kwamba ulimwengu huu unathibitisha kwamba 'Mungu mwenye upendo wote, uwezo wote na ujuzi wote' hayupo. Kwa wasiofahamu sana hoja hii ni maarufu pengine kuliko hoja zote zinazopinga uwepo wa Mungu, hivi kwamba imekuwa ikikimbiliwa na wengi wasioamini uwepo wa Mungu kama hoja yao ya msingi.

Kwa utambulisho mfupi mimi ninaamini kwamba Mungu yupo, na kwamba pia ninaamini Ukristo ndiyo dini ya kweli pekee. Haya nimeyatamka ili iwe rahisi kuelewa mtazamo wangu kuhusu hili swala, lakini nisingependa iwe msingi wa mjadala, natamani tujadili kulingana na kichwa cha uzi huu.

Ninataka kukiri kwamba ikiwa tunaoamini uwepo wa Mungu tutalazimishwa kuelezea mambo yote yanayotokea katika ulimwengu huu kwa kutumia sifa tatu tu za Mungu (Upendo, Uwezo na Ujuzi) tutababaika kujibu; tutaweza kutoa majibu kwa baadhi ya mambo, lakini si yote. Yamkini hili limejionesha mara kadhaa watu wanapoulizwa hilo swali.

Lakini hoja yangu ni kuwa tatizo liko kwenye swali lenyewe na si kwa wanaojibu. Ikiwa tutataka kujiburudisha tu kwa mdahalo, tunaweza kuweka swali la Mungu mwenye sifa tatu tu lielezee ulimwengu halisi tunaoishi. Lakini ikiwa tutataka kudadisi kwa undani uwepo wa Mungu aliyeuumba na anayeuongoza ulimwengu huu, lazima tutumie mjumuisho wa sifa zake zote (Mungu halisi) kuelezea mjumuisho wa mambo yote ya ulimwengu huu (ulimwengu halisi)

Mungu halisi ana sifa nyingi mbalimbali, na hizi zote zinahusika wakati wowote anapojihusisha na ulimwengu. Baadhi ni hizi Upendo, Uwezo, Ujuzi, Wema, Utakatifu, Utukufu, Hekima, Wivu, Haki, Mamlaka, Uamuzi Binafsi, Uwepo mahali pote, Maarifa na kadhalika.

Mfano: Tukitaka kujiuliza kwa nini Mungu ameumba jua na kuliweka umbali huo alioliweka, na kulazimisha kutumia sifa tatu tu za Mungu kuelezea, hatutapata jibu (la kuridhisha). Lakini tukiruhusu sifa zaidi, ile kujua kuwa ana 'Hekima na Maarifa' vitatupa jibu.

Jambo hili tunapaswa kulitumia tunapoelezea mambo mengine ya ulimwengu huu kama vile kwa nini kuna magonjwa, maafa na kadhalika ilhali Mungu ni mwenye upendo, uwezo na ujuzi wote. Ni kwa sababu hekima, haki, Uamuzi binafsi na kadhalika vinahusika pia.
Unaelewa set theory?
 
Aisee we jamaa unahatarisha dini za watu
angalai upuuzi wa ukristo


Here’s a pair of verses that are completely incompatiblend whosoever shall speak a word forgiven him: but unto him that blasphemeth against the Holy Ghost[/I] it shall not be forgiven. —Luke 12:10

For whosoever shall call upon the name of the Lord shall be saved. —Romans 10:13

1.

Thou shalt not kill. —Exodus 20:13

Thus sayeth the Lord God of Israel, Put every man his sword by his side. and slay every man his brother…companion…neighbor.Exodus 32:27

2.
The first angel sounded, and there followed hail and fire mingled with blood, and they were cast upon the earth: and the third part of trees was burnt up, and all green grass was burnt up. —Revelation 8:7

And it was commanded them that they should not hurt the grass of the earth, neither any green thing[/
 
Ni nani aliekudanganya ukristo ndo dini ya kweli? Kwan kuna dini inayoitwa ukristo? Pumbav sana
Heshima kwako mkuu
Nimeandika ili kufanya watu wafahamu mtazamo wangu wa kiimani, inaweza kusaidia kujua ninachokimaanisha katika baadhi ya mijadala nitakayochangia.
Lakini sijatoa ushahidi wowote kuthibitisha hilo, na pia kwamba isiwe msingi wa majadiliano yetu kwenye huu uzi. Hii itasaidia tufikie hitimisho kwa urahisi.
 
angalai upuuzi wa ukristo


Here’s a pair of verses that are completely incompatible:

And whosoever shall speak a word against the Son of man, it shall be forgiven him: but unto him that blasphemeth against the Holy Ghost it shall not be forgiven. —Luke 12:10

For whosoever shall call upon the name of the Lord shall be saved. —Romans 10:13

1.

Thou shalt not kill. —Exodus 20:13

Thus sayeth the Lord God of Israel, Put every man his sword by his side. and slay every man his brother…companion…neighbor.Exodus 32:27

2.
The first angel sounded, and there followed hail and fire mingled with blood, and they were cast upon the earth: and the third part of trees was burnt up, and all green grass was burnt up. —Revelation 8:7

And it was commanded them that they should not hurt the grass of the earth, neither any green thing, neither any tree; but only those men which have not the seal of God in their foreheads. —Revelation 9:4

3.
Lying lips are an abomination to the Lord. —Proverbs 12:22

The Lord hath put a lying spirit in the mouth of all these thy prophets, and the Lord hath spoken evil concerning thee. —I Kings 22:23

4.
And in the fifth month, on the seventh day of the month…Nebuzaradan…came…unto Jerusalem… —2 Kings 25:8

…in the fifth month, in the tenth day of the month…came Nebuzaradan…into Jerusalem… —Jeremiah 52:12

5.
For by grace are ye saved through faith…not of works. —Ephesians 2:8,9

Ye see then how that by works a man is justified, and not by faith only. —James 2:24

6.
Jehoiachin was eighteen years old when he began to reign, and he reigned in Jerusalem three months. —2 Kings 24:8

Jehoiachin was eight years old when he began to reign, and he reigned three months and ten days in Jerusalem… —2 Chronicles 36:9

7.
For I am the Lord; I change not. —Malachi 3:6

And the Lord repented of the evil which he thought to do unto his people. —Exodus 32:14

8.

For all have sinned, and come short of the glory of God. —Romans 3:23

There was a man…who name was Job; and that man was perfect and upright. —Job 1:1



9.

Submit yourself to every ordinance of man…to the king, as supreme; Or unto governors. —I Peter 2:13

We ought to obey God rather than men. —Acts 5:29

10.

And it was the third hour, and they crucified him. —Mark 15:25

…about the sixth hour…they cried out…crucify him….Then delivered he him therefore unto them to be crucified. —John 19:14-16

11.

Answer not a fool according to his folly, lest thou also be like unto him. —Proverbs 26:4

Answer a fool according to his folly, lest he be wise in his own conceit. —Proverbs 26:5



12.

Let your light so shine before men, that they may see your good works, and glorify your Father which is in heaven. —Matthew 5:16

Take heed that ye do not your alms before men, to be seen of them: otherwise ye have no reward of your Father which is in heaven. —Matthew 6:1

13.

And [Judas] cast down the pieces of silver in the temple, and departed, and went and hanged himself. —Matthew 27:5

Now [Judas] purchased a field with the reward of iniquity; and falling headlong, he burst asunder in the midst, and all his bowels gushed out. —Acts 1:18

14.

Think not that I am come to send peace on earth: I came not to send peace, but a sword. —Matthew 10:34

These things I have spoken unto you, that in me ye might have peace. —John 16:33

15.

And of every living thing of all flesh, two of every sort shalt thou bring into the ark. —Genesis 6:19

Of every clean beast thou shalt take to thee by sevens, the male and his female: and of beasts that are not clean by two, the male and his female. —Genesis 7:2

16.

And after six days Jesus taketh Peter, James, and John his brother, and bringeth them up into an high mountain apart… —Matthew 17:1

And it came to pass about an eight days after these sayings, he took Peter and John and James, and went up into a mountain to pray. —Luke 9:28

17.

Then said Jesus unto him, Put up again thy sword into his place: for all they that take the sword shall perish with the sword. —Matthew 26:52

Then said he unto them, But now, he that hath a purse, let him take it, and likewise his scrip: and he that hath no sword, let him sell his garment, and buy one. —Luke 22:36

18.

Therefore Michal the daughter of Saul had no child unto the day of her death. —II Samuel 6:23

But the king took the two sons of Rizpah…and the five sons of Michal the daughter of Saul. —II Samuel 21:8

19.

Rejoice not when thine enemy falleth, and let not thine heart be glad when he stumbleth: —Proverbs 24:17

The righteous shall rejoice when he seeth the vengeance: he shall wash his feet in the blood of the wicked. —Psalms 58:1

na nyongeza hii;

1. Genesis 32:30 and numbers 14:14
Men have seen god

John 1:18
No man has seen god

2. Jeremiah 3:12
God does not keep anger forever

Jeremiah 17:4
God does keep anger forever

3. Mathew 1:20
Angel appeared to joseph

Luke 1:28
Angel appeared to mary

4. Mathew 8:5
Centurion came to jesus

Luke 7:3
Centurion sent his elders

5. Mathew 4:5-8
Satan took Jesus to temple and then mountain

Luke 4:5-9
Satan took Jesus to mountain and then temple

6. Mathew 20:29
Two blind men were healed on the road

Mark 10:46-47
One blind man was healed on the road

7. Luke 2

jesus was born during the rule of cynerius

Mathew 2

Jesus was born during the rule of herod
Heshima kwako mkuu
Sitajaribu kujibu hili, lipo nje ya kusudi la uzi huu.
 
Back
Top Bottom