- Thread starter
- #21
Unapewa unacho stahiliMkuu kwa mtazamo HALISI Mungu mnaye mtaja kutoka kwenye vitabu vyenu ni JITU MOJA KATILI SANA
Anawezaje kuruhusu mtoto mchanga asiye jua lolote azaliwe na saratani mbaya kabisa itakayo mtesa maisha yake yote na akaacha wahalifu wakubwa wanao “mkufuru” wanakula bata kama wapo “peponi”?
Hakuna Mungu mwenye sifa mnasema anazo anaweza kuwa na njia za kikatili namna hii wakati uwezo anao