Mungu anajibu maombi

Mungu anajibu maombi

Maombi mazuri sana hayo, hata mimi niko namwomba Mungu nikifanya MAOMBI ya kusaka AMANI. nimekataa kufanya maombi ya kulipiza kisasi yaani maombi ya kuombeana mabaya.
Kama wabongo wengi walivyo. AMANI kwanza.
Mpwa wewe ndio umenielewa, naona kuna watu wanasema eti nimefurahi eti Boss wangu kufukuzwa kazi, asante kwa kunielewa kuwa sikuzote niliomba kuwa na AMANi na Boss wangu na sikuwahi kumuombea mabaya
 
kimsingi kuna mashaka juu ya uwepo wa mungu!

hiki unachokishangilia kweli wewe unadhani ni uwepo wa mungu? mungu gani huyo uliye naye ambaye unashangilia eti mwenzako kafukuzwa kazi? na haya ndiyo watu wanashuhudia makanisani eti mungu kanitendea muujiza.

leo hii ukibishana na mtu kuhusu mambo ya imani anasema subiri na katika kusema subiri mungu atajidhihirisha anategemea upate matatizo na ndio uje kutambua uwepo wa mungu.

tunaamini mungu ni the creator of everything sasa nguvu ya creation umewahi kuiona wapi? yaani kiumbe aliyetengeneza ulimwengu huu au viumbe vyote leo hii anakuja kumfukuzisha kazi bosi wako anayekuchukia bila wewe kujua sababu? huko ni kusema kiumbe huyo amefilisika. lakini wewe unayeshangilia kufukuzwa kwa mwenzako je atakuacha huru?

ninachotaka kukueleza kuna uwezekano wa imani kutokutoka unakokudhani na kule imani zinakotoka wanatake advantage ya matukio au kuchochea baadhi ya matukio alafu unaletewa mawazo mungu kafanya kazi. kwa logic ya kawaida mungu hawezi kufanya hilo unalolishangilia ila kitu kinaweza kujifanya mungu kikafanya upumbavu ukashangilia na chenyewe kikabaki kinakucheka. kama wengine wanavyodanganywa kuwa ukichinja albino utapata mali basi wanachinja na kinachowadanganya kinabaki kuwacheka.

Upo vizuri sana kimtazamo hatutofautiani kabisa
 
Hujamuelewa vizuri kawoli,amani kwake ni kuwa sasa yuko vizuri na aliyekuwa bosi wake,they are getting along well now.God bless you eli.
Na wewe pia umenielewa vizuri sana, nilichkiomba ni kuwa na amani, sasa nashangaa baadhi yetu hawasomi wakifika kati kati au mistari miwili tu wanakimbilia kutoa mahitimisho. Thanks
 
Ndio changamoto za dunia mkuu,ila sijakuelewa uliposema Mungu kajibu Maombi. Unamaanisha ulikuwa ukiomba huyo bosi wako afukuzwe kazi ama?

Umeligundua hilo? Sasa hapo ucha mungu unatoka wapi wakati unamuombea kiumbe mwenzio apatwe na matatizo?
 
kuwa mkweli na ukweli huo ndio wa kukusaidia.

sio lazima useme nimefurahi ila katika mtiririko wa ujumbe wako mtu anaona ujumbe wako ni nini?

labda nikuulize kwa nini umeweka kufukuzwa kwake kazi katika mtiririko wa ushuhuda wako? hapo bila shaka linaonyesha ni jambo gani limembadilisha na bila kuuuliza mtu anatambua kuwa unadhani jambo hilo limefanywa na huyo unayedhani nimungu wako na ndilo lililombadilisha.

jAMANI WAZEE NA VIJANA WENZANGU, TUJIFUNZE KUSOMA NA KUELEWA, HAKUNA MAHALI NIEMADNIKA KUWA NIMEFURAHI KUWA AMEFUKUZWA KAZI, NIMESEMA HATIMAE TUMEWEZA KUONGEA! HATIMAE AMENIONA NA MIMI KUWA MTU. Tujifunze kusoma kabla ya kukimbilia ku-comment
 
Imani ni kitu comlicated sana, hapa kuna ujumbe nimeupata na pia kuna jambo limenichananya.

Umefurahia mbaya wako kuwa chini yako sasa? Sijaelewa kwenye part ya kufukuzwa part na kuja kwako kutafuta kazi.

Mkuu kongosho imani ni kuamini,wewe kama ukiamua kuamini kuwa mungu yupo sawa amini hivyo sana,na ukiamua kuamini kalimanzira amini sana.hayo ndio maisha
 
Duuuu,wewe kweli kiboko upo sehemu zoote?

Mkuu, tuliza kichwa nielewe, mimi nimesuport mleta mada ya kuwa kweli mungu yupo na anajibu. wewe na akili zako hizo ukadakia mambo ya hirizi... nikajibu ni kweli kama huna mungu wa hirizi watakupata tu. sasa nakuwaje sehemu zote? soma vizuri na elewa mada. usicheze na moto ulao.. neno la mungu ni moto.
 
kweli mkuu maombi yanalipa na yanafungua njia pasiopo na njia unapoomba kwa bdii na kuutafuta uso wa Mungu anaye anakutana na haja zetu

pole mkuu kwa maumuvi yaliyokupata ilikuwa ni mapito ya muda tu Mungu amekutendea sasa ona unafurahi sasa endelea kumshukuru Mungu kwani ndiye kimbilio letu hatuna mwingine wa kumkimbilia tunafikwa na mapito na matatizo yeye anafanyika kuwa baba yetu
Elli
 
Last edited by a moderator:
ndugu yangu hii post yako watu wa humu hawatakuelewa kwani tuko differ
Na wewe pia umenielewa vizuri sana, nilichkiomba ni kuwa na amani, sasa nashangaa baadhi yetu hawasomi wakifika kati kati au mistari miwili tu wanakimbilia kutoa mahitimisho. Thanks
 
Mkuu, tuliza kichwa nielewe, mimi nimesuport mleta mada ya kuwa kweli mungu yupo na anajibu. wewe na akili zako hizo ukadakia mambo ya hirizi... nikajibu ni kweli kama huna mungu wa hirizi watakupata tu. sasa nakuwaje sehemu zote? soma vizuri na elewa mada. usicheze na moto ulao.. neno la mungu ni moto.

Huo moto utakuchoma wewe unaye ukumbatia
 
Mpwa nakubaliana na wewe kwa kua huo ni mtazamo wako, ila nasisitiza tena kwamba POINT yangu ilikua ni yeye kurudi tena kwangu, ambapo sasa tunaweza kuchat na kutumiana emails, the rest hayana mashiko hapa, nisingeweza kuandika bila kuandika kuachishwa kwake kazi maana naamini kuwa MUNGU ana namna zake za kuwapatanisha watu, hata kama upande mmoja utaumia. Huo ndio ukweli wangu, kama una ukweli mwingine zaidi ya huu wa kwangu basi tujadiliane
kuwa mkweli na ukweli huo ndio wa kukusaidia.

sio lazima useme nimefurahi ila katika mtiririko wa ujumbe wako mtu anaona ujumbe wako ni nini?

labda nikuulize kwa nini umeweka kufukuzwa kwake kazi katika mtiririko wa ushuhuda wako? hapo bila shaka linaonyesha ni jambo gani limembadilisha na bila kuuuliza mtu anatambua kuwa unadhani jambo hilo limefanywa na huyo unayedhani nimungu wako na ndilo lililombadilisha.
 
Duuuu,wewe kweli kiboko upo sehemu zoote?

Mkuu, tuliza kichwa nielewe, mimi nimesuport mleta mada ya kuwa kweli mungu yupo na anajibu. wewe na akili zako hizo ukadakia mambo ya hirizi... nikajibu ni kweli kama huna mungu wa hirizi watakupata tu. sasa nakuwaje sehemu zote? soma vizuri na elewa mada. usicheze na moto ulao.. neno la mungu ni moto.
 
kimsingi kitabu cha "evidence of non existance of god revealled" kiko njiani kinakuja subiri ukisome utajua kama unayoyaamini ni kweli mambo sahihi au ni mambo yaleyale ya imani za miungu wa zamani yamebadili maganda na je ni vitu gani vinafanya mambo haya kwa wanadamu.

utaweza kujua kama kweli life after death ipo au tunakufa tu moja kwa moja na je tunaweza kufanya nini kama afadhali lakini sio tiba.

ukijua ukweli utabaini ulimwengu ni kama umeugua ukimwi lakini tunaweza kuishi kwa matumaini na anayeukataa ukweli ni sawa na mgonjwa wa ukimwi anayeogopa kupima matokeo yake ni kushindwa kutumia dawa za kurefusha maisha na kuishia kufa haraka zaidi. sijui lipi bora.

naondoka online kdg....ningekua na angalau dk. 5 nadhan tungeeleweshana......kijana mtoa mada barikiwa sana kwa moyo wako wenye uvumilivu mwingi na upendo......my GOD bless you..
 
Ni Africa na baadhi ya inchi za Asia tu ndiko wanakoamini kwamba MAZURI,MABAYA,UTAJIRI NA MIKOSI,FARAJA NA UMASIKINI NI MATOKEO YA KUTOKUOMBA AU KUOMBA KWA ANAYEITWA MUNGU wakati hawa waliotuletea hizi Imani wao hizi nyumba zinazoitwa za ibada wenyewe washaanza kuzibadili matumizi
 
Sala ni kunuia. Ukinuia linatokea. Liwe baya au zuri. Fahamu kuwa Mungu ni roho na kila unachoomba unapewa. Hakuna limit.

Ni jukumu lako kujua unaomba nini. Ukiomba chema utapewa.Ukiomba kibaya utapewa pia.
 
Husijidanganye kabisa nyinyi ndio manabii wa uwongo.

''Aonavyo moyoni mwake .... ndivyo alivyo'' omba mungu ujitambue wewe ni nani na umeumbwa kwa kusudi gani. think out of box. usikariri tu maneno na misemo ya mitaani, jifunze kuelewa jambo kwa undani ndiyo uje na hiyo generalization yako.
 
Back
Top Bottom