Hata kama humuamini ila si kwa hatua hii uliyofikia.....astaghfirullah!!!! Ndugu wewe nakuona kama uliyechanganywa na vile vitopic vya philosophy form 5&6 nothing else!!....usitutukanie Mungu wetu please...na umelaaniwa wewe pamoja na kizazi chako choteIla Mungu ni zuzu jamani! eti wakati wa kusali, tumpe misifa ndio atajibu maombi yetu kwa wakati!
Mh! Ila kweli nafikili kuna ka point naanza kukaona.Maswali ya msingi sana Mungu anawaumba watu kama maria na consolata halaf wanaishi kwa tabu tu jamani
Mkuu unaamin au hauamin uwepo wa mungu ?!hahaha ... baba salehe
Maswali ya msingi sana Mungu anawaumba watu kama maria na consolata halaf wanaishi kwa tabu tu jamani
Mkuu usiku mwemaMkuu njema tu.
Vipi wewe? Hawajambo wote kitaa?
Naaamini lakini " sio huyu wa kwenye haya mavitabu ...maana ana mapungufu " Mno "Mkuu unaamin au hauamin uwepo wa mungu ?!
hahhaa....usikute alikuwa ana umba huku anasinzia..."" kwamujibu wa essay ya jamaa lakini "" maana haiwezekani " muweza wa yote ashindwe kuumba kitu ambacho ni timilifukama hachoki mbona anawaumba mapacha walioungana. hiyo ni dalili ya kuwa alikosea kuumba na 98% inaonesha alikuwa mchovu
Lakini mbona yeye ameuliza vizuri tu, jibu hiyo hoja kwa ustaarabu tu..Unachokitafuta utakipata kwa shangwe, vifijo,ndelemo na vilio pia
Naamini maswali yako naweza kuyajibu ila kwa imani yangu. Na ntakujibu kwa kutumia ushahidi Kitabu, hadithi na dalili japo najua hutataka masuala ya kitabu wala hadithi hivyo KUJIKITA ZAIDI KATIKA DALILI ambazo hata scientifically unaweza kuprove. Hakika MWENYEZI MUNGU ANAJUA ZAIDIMiaka ile bado nasali/naamini uwepo wa personal God au Mungu anaehusika moja kwa moja na maisha ya binadam nilikua najiuliza baadhi ya maswali ila sikuwahi kupata majibu yake. Kwa kua imani inakufundisha kuamini kila kitu bila kuhoji ikanibidi niwe nakubali tu au naamini tu.
Baada ya kuachana na mambo ya kuamini uwepo wa mungu anaehusika na maisha ya binadam moja kwa moja, bado nimekua najiuliza, Mungu anafaidika nini na vitu vifuatavyo toka kwa binadam.
1. Kuomba. Mungu anafaidika nini na watu kumuomba wakati anajua maisha yao na anajua shida zao. Hii ni sawa na mzazi kujua kabisa mwanao hajala siku mbili na ana njaa na chakula unacho ila tu unangoja uombwe, je huu ni uwajibikaji au uzembe?
2. Kufunga. Mungu anafaidika nini na kuona watu wanashinda njaa au kushinda bila kula. Furaha yake ni nini watu wasipokula?
3. Sadaka/Zaka. Mungu ambae anadai yeye ni tajiri bado anataka pesa za watu eti wamtolee, mungu anafurahia nini kuomba watu hela zao tena watu choka mbaya lakini bado anakomaa umpelekee hela, ili iweje?
Mnaweza kunisaidia mungu anafurahia au anafaidika na nini na hivi vitu?
eti na mama yao " hao Watoto ameshukuru" amesema asante Mungu kwa zawadi "" wkati amepatiwa Jukumu zito kama furushi la mwiziMaswali ya msingi sana Mungu anawaumba watu kama maria na consolata halaf wanaishi kwa tabu tu jamani
Ndio vichaka mnavyotumia kujifichia hivi, kuzuia watu kuhoji..Isaya : Mlango 40
28 Je! Wewe hukujua? Hukusikia? Yeye Mungu wa milele, BWANA, Muumba miisho ya dunia, hazimii, wala hachoki; akili zake hazichunguziki.
Nafuu ya jiwe "" maana hajawahi kusema kuwa ana uweza wa yote "" halafu akashindwa kuamua vita ya wamasai na wakulima "" wanaopigana kila siku kule KILOSAhivi Mungu wetu kawa na tabia kama za jiwe hadi tuanze kutishana humu juu yakumjadili na kutaka kujua ukweli wake?
Muweza ya yote anashindwaje kumuweka lockup ibilisi.., acheni hizo si amtie hata uchizi tu wanadamu tubaki salama..Mkuu unapozungumzia Mungu nnadhani unajua kwenye ulimwengu huo wa Mungu(au ulimwengu wa roho) kuna pande mbili, peponi na jehanam.
Kila upande una taratibu zake na wakuu wa jehanam wanahangaika kuwavutia watu/roho za watu katika upande wao.
Maombi(pamoja na kufunga) na sadaka ni baadhi ya mambo yanayotuweka karibu zaidi na Mungu na kutukinga na mipango ovu ya ibilisi dhidi yetu.
DuhNafuu ya jiwe "" maana hajawahi kusema kuwa ana uweza wa yote "" halafu akashindwa kuamua vita ya wamasai na wakulima "" wanaopigana kila siku kule KILOSA