Mungu anafaidika/anafurahia nini vitu hivi kutoka kwa binadam?

Ila Mungu ni zuzu jamani! eti wakati wa kusali, tumpe misifa ndio atajibu maombi yetu kwa wakati!
Hata kama humuamini ila si kwa hatua hii uliyofikia.....astaghfirullah!!!! Ndugu wewe nakuona kama uliyechanganywa na vile vitopic vya philosophy form 5&6 nothing else!!....usitutukanie Mungu wetu please...na umelaaniwa wewe pamoja na kizazi chako chote
 
Maswali ya msingi sana Mungu anawaumba watu kama maria na consolata halaf wanaishi kwa tabu tu jamani

Ndio utambue uwepo wake, anaumba anavopenda iwe rahisi sisi kuamini uwepo wake. Amewaumba waja wake apendavo iwe mfano kwetu, ikitujia imani tukumbuke uwepo wake.na ujue kwamba vyovyote tulivo anaweza akatunyima tukawa zaidi ya hao walioungana. Sisi alotujalia neema zake tumshukuru kama anavopenda. Mungu ametutaka tutoe sadaka ili iwe kinga na tiba kwenye maisha yetu. Anapenda tusali ili kuijaza imani nafsi zetu na kujitengenezea mazingira mazuri siku ya hukumu. Mwenyezi Mungu tumshukuru na kumsifu kila mara ni mwingi wa rehema na mwenye kurehemu. Tumsifu na kumshukuru kwa neema zake alizotupa haziwezi kuhesabika unazozijua, usizozijua.
 
kama hachoki mbona anawaumba mapacha walioungana. hiyo ni dalili ya kuwa alikosea kuumba na 98% inaonesha alikuwa mchovu
hahhaa....usikute alikuwa ana umba huku anasinzia..."" kwamujibu wa essay ya jamaa lakini "" maana haiwezekani " muweza wa yote ashindwe kuumba kitu ambacho ni timilifu
 
Naamini maswali yako naweza kuyajibu ila kwa imani yangu. Na ntakujibu kwa kutumia ushahidi Kitabu, hadithi na dalili japo najua hutataka masuala ya kitabu wala hadithi hivyo KUJIKITA ZAIDI KATIKA DALILI ambazo hata scientifically unaweza kuprove. Hakika MWENYEZI MUNGU ANAJUA ZAIDI
Naaahidi nitarudi Nikijaaliwa. Muda huu sio rafiki kwangu
 
hivi Mungu wetu kawa na tabia kama za jiwe hadi tuanze kutishana humu juu yakumjadili na kutaka kujua ukweli wake?
Nafuu ya jiwe "" maana hajawahi kusema kuwa ana uweza wa yote "" halafu akashindwa kuamua vita ya wamasai na wakulima "" wanaopigana kila siku kule KILOSA
 
Muweza ya yote anashindwaje kumuweka lockup ibilisi.., acheni hizo si amtie hata uchizi tu wanadamu tubaki salama..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…