Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 8,367
- 10,394
Huko kumwambia akaushe ni kumpangia,kwa hiyo bado naona unataka kumpangia mambo yakeBhas angekausha tu ili binadam waishi tu free yeye amue mwenyew ampe nan sio kusema ukiniomba nitakupa wakat tunaona watu wadini kibao wakilala njaa nawasioamin wakila bata
Ila kwa tabuIla unasomeka.
Refresh. Natumia pc nilishinndwa kujua font size gani sahihi ila sasa nimesha tambua.Ila kwa tabu
Usiongee tena hivi, MUNGU kubadilisha kitu ni nusu sekunde kila kitu kishakuwa kingine kabisa, ongea yote lakini usimguse MUNGU, sema tu MUNGU ni WA rehema na Neema sana anamuona kila mmoja.Hivi kwanini Mungu anazidiwa akili na Wanadamu?