Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,372
- 2,374
- Thread starter
- #61
Mkuu ni yalemalori yanayobeba macontainer bandarini lilimshinda jamaa likajaa site yangukaka nn chanzo cha hiyo ajali iliyokukuta? Tuhabarishe na ss wengine tuweze chukua hatua za kujikinga.
Kwa kweli ni mungu pekee ndo anayejua, pole sana ndugu na uzd kumshukuru molah.