ni kweli mkuu...na mungu hutupa hata ambavyo hatujamuomba,hakika ninamshukuru sana kwani amenisuru akitaka nieendelee kuwepo dunianiPole sana Inkoskazi, ni kawaida kwamba inapotokea ajali ya barabarani huwa inakuwa imesababishwa mara nyingi na makosa ya dereva mmoja, kwa hiyo humu barabarani huwa tunasalimika kwa uwezo wa Mungu, unaweza kuwa makini sana lakini akatokea mzushi akakuletea, kwa hiyo hili ni jambo la kushukuru sana,
'kesheni mkiomba maana hamjui siku wala saa'
View attachment 21696View attachment 21695View attachment 21694View attachment 21693View attachment 21692View attachment 21691View attachment 21690View attachment 21689View attachment 21688
MUNGU NI MKUBWA ,nipo nanyi pamoja kwa uwezo wake!!
Pole! Mbona gari halina plate namba na picha hizo hawakuchakachua? ni mawazo tu....ila usemi unabaki kuwa kweli MUNGU MKUBWAView attachment 21696View attachment 21695View attachment 21694View attachment 21693View attachment 21692View attachment 21691View attachment 21690View attachment 21689View attachment 21688
MUNGU NI MKUBWA ,nipo nanyi pamoja kwa uwezo wake!!
Lazima ujiulize sana kwanini hukufa?Hapo ndipo uwezo wa Mungu unapokuwa hauwezi kufikirika na binadamu wa kawaida. Tunachotakiwa sisi ni kusema Amen.
wapi paul,rutashubanyuma,hashycool etc? enlargement pls