UKAWA inajisambaratisha yenyewe kutokana na tamaa za madaraka walizonazo viongozi CHADEMA
Naona CDM ni mwiba mchungu kwa magamba, kila gamba akisikia neno CDM anajiharishia
UKAWA inajisambaratisha yenyewe kutokana na tamaa za madaraka walizonazo viongozi CHADEMA
Ukawa itavurugwa na chadema waroho wa madaraka,kama kweli ukawa ina hoja mpeni basi NLD majimbo ya mbeya,Arusha,Mwanza tuone kama Bavicha watakaa kimya
Mkuu tunakuja hatutaacha kijiji kitongoji kata, jimbo wala Urais vyo tunavitaji tumuondoe mkoloni mweusiUkawa Mungu Yupo Pamoja Nasi Tukaze Boot! Ukawa Naomba Njooni Chalinze Tumewamic Sana Maana Hapa Wananchi Hatuelewi Kinachoendelea.Maji Hatupati Ingawa Tumezungukwa Na Mito Miwili Ruvu Na Wami Ukiuwauliza Wahusika Hawaeleweki! Pia Hospital V2ko Vitupu,hakuna Huduma Za Maabara Wkend,hakuna Dawa,lugha Chafu Wahudum Yaani Vurugu Tupu! Ebu Njooni Tuchukue Jimbo Hili Maana Mtu Na Mtoto Wake Limewashinda Hakuna Waliciorekebisha Zaidi Kupiga Hela Za Wananchi Kwa Kubadilisha Stayle Za Kuiba.Ukawaaaaa Juuu!
ok Ngoja niunge mkono hoja. Tupigie kura Ukawa lakini Raisi asimame Prof Lipumba na padri mstaafu awe makamu, utaona mapovu yanavyowatoka. nyinyi mnafikiri sisi ni madaraja ya kuufikia huo mpango wenu. Ila mna akili sana aisee mlifikiri mtaweza bila ya sisi mlipoona haiwezakani mkajipendekeza kwenye ukawa ili mpate access za kutulaghai aisee. siku ile si ndio wewe ulijifnya kumponda prof kwamba mdini, leo unaungana nae haya niambie kaacha lini ule udini mpaka ujifanye kuungana nae, na ile CCM B ndio iwe mgombea mweza aiseee mnachekesha sana CDM imeungana na CCM B. Wanafiki thana nyinyiiiiiii. UKAWA haifiki mbali kwa unafiki ZZK ameona hapo akahepa. HAPA NI MASLAH TUUUUU.
Baada ya kugundua niliyoyagundua CDM nimehama ukawa na natangaza kura ya maslahi............mpaka tutaelewana.
ukitaka kujua wafuasi wa ukawa ni kina nani angalia comment zao. utawasikia chaguo la mungu, au utawasikia wakipinga mahakama ya kadhi, au utawasikia wakimtukana Allah, au utawasikia wakimpendekeza padre nafasi ya urais au utawasikia wakiwasifu polisi kwa kuwapiga waislamu na wakiwalaumu kwa kumkamata gwajima, au utawasikia wakiiponda ccm kwakua na rais muislam na wakiisifia ccm wakimsikia Lowasa. kwao wao ukawa ni pazia tu la kujificha lakini tunawaambia mmejificha kwenye matembele, tumeshawaona hapo... KURA YA MASLAHI NDIO MPANGO MZIMA MPAKA TUTAHESHIMIANA.
Huyo mtu amejadili habari za UKAWA, wewe unaingiza habari za CHADEMA. UKAWA ni ushirika wa vyama vinne, kwa hiyo wewe unaitaja CHADEMA tu kulikoni? Na kama madai yako ni sahihi, si ndio ufurahi kwamba CHADEMA wanalazimisha mambo ili ushirika wao uvurugike na hiyo itakuwa ahueni kwa chama chako cha MAFISADI?
ok Ngoja niunge mkono hoja. Tupigie kura Ukawa lakini Raisi asimame Prof Lipumba na padri mstaafu awe makamu, utaona mapovu yanavyowatoka. nyinyi mnafikiri sisi ni madaraja ya kuufikia huo mpango wenu. Ila mna akili sana aisee mlifikiri mtaweza bila ya sisi mlipoona haiwezakani mkajipendekeza kwenye ukawa ili mpate access za kutulaghai aisee. siku ile si ndio wewe ulijifnya kumponda prof kwamba mdini, leo unaungana nae haya niambie kaacha lini ule udini mpaka ujifanye kuungana nae, na ile CCM B ndio iwe mgombea mweza aiseee mnachekesha sana CDM imeungana na CCM B. Wanafiki thana nyinyiiiiiii. UKAWA haifiki mbali kwa unafiki ZZK ameona hapo akahepa. HAPA NI MASLAH TUUUUU.
ok Ngoja niunge mkono hoja. Tupigie kura Ukawa lakini Raisi asimame Prof Lipumba na padri mstaafu awe makamu, utaona mapovu yanavyowatoka. nyinyi mnafikiri sisi ni madaraja ya kuufikia huo mpango wenu. Ila mna akili sana aisee mlifikiri mtaweza bila ya sisi mlipoona haiwezakani mkajipendekeza kwenye ukawa ili mpate access za kutulaghai aisee. siku ile si ndio wewe ulijifnya kumponda prof kwamba mdini, leo unaungana nae haya niambie kaacha lini ule udini mpaka ujifanye kuungana nae, na ile CCM B ndio iwe mgombea mweza aiseee mnachekesha sana CDM imeungana na CCM B. Wanafiki thana nyinyiiiiiii. UKAWA haifiki mbali kwa unafiki ZZK ameona hapo akahepa. HAPA NI MASLAH TUUUUU.
Ukawa itavurugwa na chadema waroho wa madaraka,kama kweli ukawa ina hoja mpeni basi NLD majimbo ya mbeya,Arusha,Mwanza tuone kama Bavicha watakaa kimya
Ninachoweza kuwambia ccm wajiandae kuwa wapinzani TanzaniaWewe povu lote hili kwa maslahi ya CHADEMA au ya nani? Kwa nini usifurahie kwamba sasa UKAWA umekufa? Ukawa ukifa wewe unachukia nini?
Mwaka huu, lazima mseme yote!.
Baada ya kugundua niliyoyagundua CDM nimehama ukawa na natangaza kura ya maslahi............mpaka tutaelewana.
ukitaka kujua wafuasi wa ukawa ni kina nani angalia comment zao. utawasikia chaguo la mungu, au utawasikia wakipinga mahakama ya kadhi, au utawasikia wakimtukana Allah, au utawasikia wakimpendekeza padre nafasi ya urais au utawasikia wakiwasifu polisi kwa kuwapiga waislamu na wakiwalaumu kwa kumkamata gwajima, au utawasikia wakiiponda ccm kwakua na rais muislam na wakiisifia ccm wakimsikia Lowasa. kwao wao ukawa ni pazia tu la kujificha lakini tunawaambia mmejificha kwenye matembele, tumeshawaona hapo... KURA YA MASLAHI NDIO MPANGO MZIMA MPAKA TUTAHESHIMIANA.
Muungano wa UKAWA kazi imeanza,
Leo viongozi wa vyama vya Nccr mageuzi,Chadema,Cuf na NLD kazi imeanza.
Si jf,magazeti,Redio na wakaa vijiweni kazi wameanza.
Wanawakala wao,wamelipwa,kuanzishs kila aina ya hoja kuwafarakanisha.
Kuibua kila aina ya siasa mfilisi,tunajua ukawa tunahitaji kujenga Taifa si vyama wala mtu,na ndio maana mliamua kuungana na kuweka maslahi ya vyama vyenu nyuma.
Wananchi wa Tanzania,wapo watakaopewa pesa kupambana nanyi kwa kila hila ili kuchelewesha uhuru wa kifkra na maendeleo endelevu.
Leo tunaweza sema maneno haya" Tanzania umefika wakati tulioutarajia,wa kupoteza marafiki zetu na kuongeza wapya,kuongeza maadui au kupunguza, kuitwa kila aina ya jina,kutokana na kuwa na msimamo thabiti,kusimamia falsafa,maslahi ya watu wengi,na kusahau ubinafsi,wanaopenda vyeo,ubinafsi hamtakaa nao meza moja.Huu mwanzo una mwisho,mmechagua njia iliyojaa miiba,mabonde na milima,kila aina ya hila njiani,ila ina mwisho mzuri.
Asiyekuwa upande wenu lazima awe adui yenu,anayejitenga na wengi mara nyingi hufuata matakwa yake mwenyewe.
Hakuna njia ni bora kuamua,Mandela alipokuwa akidai haki,umoja na uhuru Afrika kusini alisema "....No easy road to freedom"
Haki mnazozidai watanzania wasitegemee serikali itakuja kujiadhibu yenyewe,inajua watanzania bado hawajui haki zao,siku wakijua nao watabadili mbinu,ni muda wa kubeba changamoto ndani ya Ukawa, kusimama na kusonga mbele,wasaliti waendelee kwani hawa si wa kwanza katika kupigania haki,muwatazame kwa jicho makini.
Tutasimama na ukawa,hatukuja kugawana vyeo,na chadema haijasema fulani atagombea,cuf,nccr mageuzi na mwenzao vilevile Ukawa kazi imeanza,watalipwa fedha za supu na mafuta lakini sisi tusonge mbele
Mkuu DC mtu anapoanzisha chama cha siasa au kujiunga na chama cha siasa nia yake kubwa ni kukamata madaraka, Kwa hiyo si mroho wa madaraka ila ndiyo nia ya mwanasiasa kujiunga na siasa. Mtu anahesabiwa mroho wa madaraka anapokuwa hataki kuachia madaraka kwa hali na mali kama wafanyavyo CCM na kama ulivyofanya wewe kumpoga Warioba ili upate UDC. Huo ndio uroho wa madarakaUKAWA inajisambaratisha yenyewe kutokana na tamaa za madaraka walizonazo viongozi CHADEMA
mgombea urais wa Ukawa ni nani?