Mungano wa UKAWA - Kazi Imeanza

Mungano wa UKAWA - Kazi Imeanza

CHADEMA wana siasa za kilaghai kweli. Kwanza utambue kuwa CHADEMA hawapendi mgombea wa Urais atoke nje ya chama chao. Ndo maana wanajaribu kila mtu mwenye sifa kumtafutia nafasi mbadala. Lipumba wanataka agombee ubunge. Mbatia wamemtafutia jimbo la Vunjo na sasa Maalim wanataka awe mgombea mwenza.

Icho ni kikao ulichofanya wewe au CHADEMA
 
CHADEMA wana siasa za kilaghai kweli. Kwanza utambue kuwa CHADEMA hawapendi mgombea wa Urais atoke nje ya chama chao. Ndo maana wanajaribu kila mtu mwenye sifa kumtafutia nafasi mbadala. Lipumba wanataka agombee ubunge. Mbatia wamemtafutia jimbo la Vunjo na sasa Maalim wanataka awe mgombea mwenza.

Nenda kasafishe mitalo ya maji chafu huko


swissme
 
UKAWA inajisambaratisha yenyewe kutokana na tamaa za madaraka walizonazo viongozi CHADEMA

Chadema ingekuwa na tamaa ya madaraka isingeteua mawaziri vivuli kutoka vyama vingine,na hata kama Cheyo,na Mrema angekubali angepewa.
 
Baada ya kugundua niliyoyagundua CDM nimehama ukawa na natangaza kura ya maslahi............mpaka tutaelewana.
ukitaka kujua wafuasi wa ukawa ni kina nani angalia comment zao. utawasikia chaguo la mungu, au utawasikia wakipinga mahakama ya kadhi, au utawasikia wakimtukana Allah, au utawasikia wakimpendekeza padre nafasi ya urais au utawasikia wakiwasifu polisi kwa kuwapiga waislamu na wakiwalaumu kwa kumkamata gwajima, au utawasikia wakiiponda ccm kwakua na rais muislam na wakiisifia ccm wakimsikia Lowasa. kwao wao ukawa ni pazia tu la kujificha lakini tunawaambia mmejificha kwenye matembele, tumeshawaona hapo... KURA YA MASLAHI NDIO MPANGO MZIMA MPAKA TUTAHESHIMIANA.
 
Baada ya kugundua niliyoyagundua CDM nimehama ukawa na natangaza kura ya maslahi............mpaka tutaelewana.
ukitaka kujua wafuasi wa ukawa ni kina nani angalia comment zao. utawasikia chaguo la mungu, au utawasikia wakipinga mahakama ya kadhi, au utawasikia wakimtukana Allah, au utawasikia wakimpendekeza padre nafasi ya urais au utawasikia wakiwasifu polisi kwa kuwapiga waislamu na wakiwalaumu kwa kumkamata gwajima, au utawasikia wakiiponda ccm kwakua na rais muislam na wakiisifia ccm wakimsikia Lowasa. kwao wao ukawa ni pazia tu la kujificha lakini tunawaambia mmejificha kwenye matembele, tumeshawaona hapo... KURA YA MASLAHI NDIO MPANGO MZIMA MPAKA TUTAHESHIMIANA.
Acha kupotosha watu Ukawa hatugawani majimbo kwamisingi ya dini wala kabila.. hayo maubiri yakijinga yako ccm
 
CHADEMA wana siasa za kilaghai kweli. Kwanza utambue kuwa CHADEMA hawapendi mgombea wa Urais atoke nje ya chama chao. Ndo maana wanajaribu kila mtu mwenye sifa kumtafutia nafasi mbadala. Lipumba wanataka agombee ubunge. Mbatia wamemtafutia jimbo la Vunjo na sasa Maalim wanataka awe mgombea mwenza.

Huna hoja kajipange uje uanze tena nina hakika babu yako pale kijijini japo leo ni sikukuuu sanasana.kanywa uji wa limao mwaka wa 53 huu chini ya ccm .
 
Baada ya kugundua niliyoyagundua CDM nimehama ukawa na natangaza kura ya maslahi............mpaka tutaelewana.
ukitaka kujua wafuasi wa ukawa ni kina nani angalia comment zao. utawasikia chaguo la mungu, au utawasikia wakipinga mahakama ya kadhi, au utawasikia wakimtukana Allah, au utawasikia wakimpendekeza padre nafasi ya urais au utawasikia wakiwasifu polisi kwa kuwapiga waislamu na wakiwalaumu kwa kumkamata gwajima, au utawasikia wakiiponda ccm kwakua na rais muislam na wakiisifia ccm wakimsikia Lowasa. kwao wao ukawa ni pazia tu la kujificha lakini tunawaambia mmejificha kwenye matembele, tumeshawaona hapo... KURA YA MASLAHI NDIO MPANGO MZIMA MPAKA TUTAHESHIMIANA.
Mkuu, hapo umefikiri hadi kamasi zinakutoka.

Umesahau ukawa una mchanganyiko wa watu wa dini zote na wasio na dini za kuletwa?

Wafuasi wengine wa ukawa wala hawana access ya mitandao kama sisi na wala hawajui kama kuna jamii forum.
 
Back
Top Bottom