Mungano wa UKAWA - Kazi Imeanza

Mungano wa UKAWA - Kazi Imeanza

Chademakwanza

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2014
Posts
6,346
Reaction score
1,872
Muungano wa UKAWA kazi imeanza,

Leo viongozi wa vyama vya Nccr mageuzi,Chadema,Cuf na NLD kazi imeanza.

Si jf,magazeti,Redio na wakaa vijiweni kazi wameanza.

Wanawakala wao,wamelipwa,kuanzishs kila aina ya hoja kuwafarakanisha.

Kuibua kila aina ya siasa mfilisi,tunajua ukawa tunahitaji kujenga Taifa si vyama wala mtu,na ndio maana mliamua kuungana na kuweka maslahi ya vyama vyenu nyuma.

Wananchi wa Tanzania,wapo watakaopewa pesa kupambana nanyi kwa kila hila ili kuchelewesha uhuru wa kifkra na maendeleo endelevu.

Leo tunaweza sema maneno haya" Tanzania umefika wakati tulioutarajia,wa kupoteza marafiki zetu na kuongeza wapya,kuongeza maadui au kupunguza, kuitwa kila aina ya jina,kutokana na kuwa na msimamo thabiti,kusimamia falsafa,maslahi ya watu wengi,na kusahau ubinafsi,wanaopenda vyeo,ubinafsi hamtakaa nao meza moja.Huu mwanzo una mwisho,mmechagua njia iliyojaa miiba,mabonde na milima,kila aina ya hila njiani,ila ina mwisho mzuri.

Asiyekuwa upande wenu lazima awe adui yenu,anayejitenga na wengi mara nyingi hufuata matakwa yake mwenyewe.

Hakuna njia ni bora kuamua,Mandela alipokuwa akidai haki,umoja na uhuru Afrika kusini alisema "....No easy road to freedom"

Haki mnazozidai watanzania wasitegemee serikali itakuja kujiadhibu yenyewe,inajua watanzania bado hawajui haki zao,siku wakijua nao watabadili mbinu,ni muda wa kubeba changamoto ndani ya Ukawa, kusimama na kusonga mbele,wasaliti waendelee kwani hawa si wa kwanza katika kupigania haki,muwatazame kwa jicho makini.
 
CHADEMA wana siasa za kilaghai kweli. Kwanza utambue kuwa CHADEMA hawapendi mgombea wa Urais atoke nje ya chama chao. Ndo maana wanajaribu kila mtu mwenye sifa kumtafutia nafasi mbadala. Lipumba wanataka agombee ubunge. Mbatia wamemtafutia jimbo la Vunjo na sasa Maalim wanataka awe mgombea mwenza.
 
Muungano wa UKAWA kazi imeanza,

Leo viongozi wa vyama vya Nccr mageuzi,Chadema,Cuf na NLD kazi imeanza.

Si jf,magazeti,Redio na wakaa vijiweni kazi wameanza.

Wanawakala wao,wamelipwa,kuanzishs kila aina ya hoja kuwafarakanisha.

Kuibua kila aina ya siasa mfilisi,tunajua ukawa tunahitaji kujenga Taifa si vyama wala mtu,na ndio maana mliamua kuungana na kuweka maslahi ya vyama vyenu nyuma.

Wananchi wa Tanzania,wapo watakaopewa pesa kupambana nanyi kwa kila hila ili kuchelewesha uhuru wa kifkra na maendeleo endelevu.

Leo tunaweza sema maneno haya" Tanzania umefika wakati tulioutarajia,wa kupoteza marafiki zetu na kuongeza wapya,kuongeza maadui au kupunguza, kuitwa kila aina ya jina,kutokana na kuwa na msimamo thabiti,kusimamia falsafa,maslahi ya watu wengi,na kusahau ubinafsi,wanaopenda vyeo,ubinafsi hamtakaa nao meza moja.Huu mwanzo una mwisho,mmechagua njia iliyojaa miiba,mabonde na milima,kila aina ya hila njiani,ila ina mwisho mzuri.

Asiyekuwa upande wenu lazima awe adui yenu,anayejitenga na wengi mara nyingi hufuata matakwa yake mwenyewe.

Hakuna njia ni bora kuamua,Mandela alipokuwa akidai haki,umoja na uhuru Afrika kusini alisema "....No easy road to freedom"

Haki mnazozidai watanzania wasitegemee serikali itakuja kujiadhibu yenyewe,inajua watanzania bado hawajui haki zao,siku wakijua nao watabadili mbinu,ni muda wa kubeba changamoto ndani ya Ukawa, kusimama na kusonga mbele,wasaliti waendelee kwani hawa si wa kwanza katika kupigania haki,muwatazame kwa jicho makini.

Kweli mkuu, hawa jamaa hawafai kabisa!
 
CHADEMA wana siasa za kilaghai kweli. Kwanza utambue kuwa CHADEMA hawapendi mgombea wa Urais atoke nje ya chama chao. Ndo maana wanajaribu kila mtu mwenye sifa kumtafutia nafasi mbadala. Lipumba wanataka agombee ubunge. Mbatia wamemtafutia jimbo la Vunjo na sasa Maalim wanataka awe mgombea mwenza.

Huyo mtu amejadili habari za UKAWA, wewe unaingiza habari za CHADEMA. UKAWA ni ushirika wa vyama vinne, kwa hiyo wewe unaitaja CHADEMA tu kulikoni?

Na kama madai yako ni sahihi, si ndio ufurahi kwamba CHADEMA wanalazimisha mambo ili ushirika wao uvurugike na hiyo itakuwa ahueni kwa chama chako cha MAFISADI?
 
CHADEMA wana siasa za kilaghai kweli. Kwanza utambue kuwa CHADEMA hawapendi mgombea wa Urais atoke nje ya chama chao. Ndo maana wanajaribu kila mtu mwenye sifa kumtafutia nafasi mbadala. Lipumba wanataka agombee ubunge. Mbatia wamemtafutia jimbo la Vunjo na sasa Maalim wanataka awe mgombea mwenza.
Naona povu linakutoka sana nyie ndio mnaopewa hela ili mwakikishe ukawa unakufa lakini kumbukeni kiletacho na Mungu binadamu hawezi kukivunja
 
Muungano wa UKAWA ndiyo ilikuwa kilio na matarajio ya Watanzania wengi, na viongozi wa vyama hivyo wametekeleza matakwa ya Watanzania na si Wadanganyika tena. ni kazi kumdanganya tena anajua ulimfanya akubali kumdanganya kwa maslahi yako, hawa waliokuwa Wadanganyika ndiyo watakao ilinda na kuipigania UKAWA kwa sababu mwanga wa matumaini yao yanachomoza kupitia UKAWA.

Hivyo mbinu chafu hazita fanikiwa kamwe.
 
CHADEMA wana siasa za kilaghai kweli. Kwanza utambue kuwa CHADEMA hawapendi mgombea wa Urais atoke nje ya chama chao. Ndo maana wanajaribu kila mtu mwenye sifa kumtafutia nafasi mbadala. Lipumba wanataka agombee ubunge. Mbatia wamemtafutia jimbo la Vunjo na sasa Maalim wanataka awe mgombea mwenza.

mwamuzi wa nani agombee urais ni wa ukawa wala si wachadema tulia utaliona hilo
 
Ukawa itavurugwa na chadema waroho wa madaraka,kama kweli ukawa ina hoja mpeni basi NLD majimbo ya mbeya,Arusha,Mwanza tuone kama Bavicha watakaa kimya
 
UKAWA inajisambaratisha yenyewe kutokana na tamaa za madaraka walizonazo viongozi CHADEMA

Huo ni wimbo kama nyimbo zingine mlizo imba na zikachuja, baada ya mliowafanya Wadanganyika kuwa werevu na kamwe hawadanganywi tena, wanasubiri usawa wa sanduku la kura
 
CHADEMA wana siasa za kilaghai kweli. Kwanza utambue kuwa CHADEMA hawapendi mgombea wa Urais atoke nje ya chama chao. Ndo maana wanajaribu kila mtu mwenye sifa kumtafutia nafasi mbadala. Lipumba wanataka agombee ubunge. Mbatia wamemtafutia jimbo la Vunjo na sasa Maalim wanataka awe mgombea mwenza.
haa haa ccm hawalali wakisikia ukawa!
 
Back
Top Bottom