thebogo055
Member
- Jun 22, 2020
- 19
- 176
Alisikika mke wangu baada ya maongezi mafupi.. nikamuuliza kulikoni unataka mtoto ghafla hivyo? Akaniambia nimetoka home mama akaniuliza vipI tayarI tumboni.. pia mashangazi wakaanza kuniambia mhh umeishi na mumeo mpaka sasa haujashika mimba vipi kuna tatizo!?
Hayo ni maneno ya ndugu wa mke wangu baada ya kutoka kwao kwenye shughuli ya sendoff ya dada yake. Nikafikiria nikaona jinsi jamii inavyo pressurise mabinti kupata watoto ingali bado hawajajipanga kimaisha..
Huwezi kumwambia mwanao unataka mjukuu wakati ndio kwanza yupo kwenye ndoa ya miezi mitatu...
Watoto wapo tu kwanza tujenge maisha atleast hata mwaka mmoja au zaidi ndio tuanze kufikiria kuongeza familia ili hata huyo mjukuu akija akute mazingira mazuri.
...
Hayo ni maneno ya ndugu wa mke wangu baada ya kutoka kwao kwenye shughuli ya sendoff ya dada yake. Nikafikiria nikaona jinsi jamii inavyo pressurise mabinti kupata watoto ingali bado hawajajipanga kimaisha..
Huwezi kumwambia mwanao unataka mjukuu wakati ndio kwanza yupo kwenye ndoa ya miezi mitatu...
Watoto wapo tu kwanza tujenge maisha atleast hata mwaka mmoja au zaidi ndio tuanze kufikiria kuongeza familia ili hata huyo mjukuu akija akute mazingira mazuri.
...