Mume wangu nampenda sana, lakini...

Mume wangu nampenda sana, lakini...

Hilo ni tatizo linalowakuta wanandoa wengi hasa baada ya kuzaa na majukumu ya maisha kuwa mengi,kikubwa cha kufanya ni kujua tatizo la mumeo ni nini kwa kuangalia yale aliyokuwa akiyafanya zamani na yale ya sasa,angalia kipi kimepungua,tukisema uanze kujichunguza tutakuwa hatukutendei haki maana si rahisi wewe kujua tatizo lako na badala yake mwenza wako ndiye mwenye nafasi ya kujua tatizo lako ni nini.
Kaa na mumeo zungumza nae kwa kina na huna haja ya kumficha tatizo ulilonalo na utaona kuwa baada ya muda mambo yanabadilika,nina swali,kitanda mlichokuwa mkitumia ndicho mnachotumia mpaka leo toka mmeanza mapenzi yenu?Uelekeo ni uleule,chumba ni kile kile?Huwa mna tabia ya kubadilisha mazingira kwa kwenda safari pamoja na kulala tofauti na nyumbani kwenu?
Kutokana na maswali haya naweza kukushauri vizuri zaidi ukiweza kunijibu.
Asaante sana kwa ushauri wako, mimi ni mpenzi sana wa kupenda kubadili chumba, kama kitanda cha sasa kina kama miaka miwili sasa na mwonekano wa chumba uwa napenda kubadili badili kuanzia mashuka na mengineyo, na kwa kusafiri tunasafiri sana, wikendi nyingi tunamalizia bagamoyo, zanzibar, mikoani, ratiba yetu ni kuwa kila wikend 2 kila mwezi tunalala nje ya nyumbani
 
It is all in you, punguza anxiety, muheshimu na umuadmire mumeo kama mwanzoni na jiachie mwili, maana usijiwekee mipaka; mwisho una 50% mchango ktk kufanya love making kuwa tamu.

Usimtegee, muongoze sehemu ambazo zinakupagawisha. Ongea naye badala ya kuongea nasi.
nisingeongea nawe ushauri wako ningeupata wapi?? Asante mkuu kwa mchango wako....
 
kama mnafanya maandalizi kabla ya kuduu afu wew hufiki unakotaka ufike,fanya yafuatayo
1,hakikisha mpo mazingira masafi wakati mnataka kuduu
2,wote muwe wasafi na wenye kunukia manukato
3,jaribu kubadili style ya kufanya mapenzi
4,jaribu kubadili mazingira leo kitandani,kesho sebuleni,siku nyingine kwenye kochi/sofa na hata bafuni
5,kula vyakula ushibe sio chips na mishkaki kila mara
6,mweleze baba watoto unapenda akikupa mambo kwa style gani
7,kapime kama unamaambukizi ya magonjwa ya ngono,na pia UTI

Ukifanya ivo utuletee majibu,,,kazi njema,,,,athante
Asante saaaaana kwa ushauri wako mkuu
 
Upo kwenye njia yoyote ya uzazi wa mpango?
hili pia wengine linawapunguzia hamu ya kufanya mapenzi
 
nisingeongea nawe ushauri wako ningeupata wapi?? Asante mkuu kwa mchango wako....

Unajua nini, tunavyopenda mwanzoni kuna vitu tunaviadmire toka kwa wapenzi wetu, with time na mapungufu mengine tunawaona wa kawaida sana na hili ndilo tatizo ulilonalo.
Tafuta best points za mumeo na cheza nazo hizo, usiruhusu say kurusha kwake sox chafu au kubreak air kwa sauti kukufanye usione au usahau jinsi touch yake ilivuokuwa inasababisha butterfly in ur stomach. Ndio maana nikasema it is all in you, l am sure akianza kukuignore na ukihisi ana mtu utarudisha mapenzi kuliko mwanzo. There are 101 girls out there ambao wanadream kuwa na a guy like ur man.
 
kwa njia nyingine kuniandaa amepunguza sana tena sana, mpaka sa nyingine inabidi nimwambie hubby unaniumiza

Ndugu yangu mwanmke usipoandaliwa siku zote utakuwa unabakwa na kuambulia michibuko ndani ya uke?
ndo maana hukojoi.,,,
hisia za mwanamme kwenye kufanya mapenzi zipo karibu sana kuliko mwanamke,
Ndo mana mwanaume hukojoa haraka sana kabla ya mwanamke so lazima akuandae vizuri adi akitaka kuondoka bila kukupa dudu unaweza piga kelele mpaka majiran wasikie

SO MWAMBIE AACHE KUKUBAKA AKUANDAE,
kabla hata hajaja kukuona,kabla ya kuduu na wakati wa kuduu kuna namna ya kuchomeka uboo kwenye uke
 
yaani hapo patamu bora mie ni5iyegundua kwenye uchumba nikampiga chini.
Sahivi hata sauti yake nikisikia natapika.
Ila wewe vumilia tu duh ngumu kwa kweli
 
It is all in you, punguza anxiety, muheshimu na umuadmire mumeo kama mwanzoni na jiachie mwili, maana usijiwekee mipaka; mwisho una 50% mchango ktk kufanya love making kuwa tamu.

Usimtegee, muongoze sehemu ambazo zinakupagawisha. Ongea naye badala ya kuongea nasi.


Karibu tena Kaunga

Hii dunia zamani tulisema imevaa pensi nyanya, sasa naona imevaa msuli kabisa...

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Asaante sana kwa ushauri wako, mimi ni mpenzi sana wa kupenda kubadili chumba, kama kitanda cha sasa kina kama miaka miwili sasa na mwonekano wa chumba uwa napenda kubadili badili kuanzia mashuka na mengineyo, na kwa kusafiri tunasafiri sana, wikendi nyingi tunamalizia bagamoyo, zanzibar, mikoani, ratiba yetu ni kuwa kila wikend 2 kila mwezi tunalala nje ya nyumbani
Nimepata mwanga wa kile ambacho nilikuwa na mashaka nacho,nahamia upande mwingine,je tangu mmepata mtoto mapenzi yamekuwa upande gani zaidi?Maana wamama wengi wakishapata mtoto hujikuta kila wanachowaza ni mtoto na kujisahau kabisa kuwa pia wanatakiwa kubalance mapenzi,kwa mfano unaweza kujikuta unaonesha mapenzi kwa mtoto huku baba akiwa anatamani pia,hii hufanya mapenzi kupungua kati ya wanandoa.
Inawezekana kuwa ingawa mnapata wasaa wa kutoka pamoja lakini mechi hubaki kuchezwa kitandani,kama ni hivyo hebu jaribu kubadili hali ya mchezo,tafuta pambano mahali pengine kama vile bafuni,sebuleni(hapa angalieni mtoto akiwa hayupo)na hata jikoni ikibidi,hii huamsha hamasa na raha ya mapenzi.
 
He he he, mtu kafika kitonga anashuka, unadhani atakumbuka hujafurahi?

Binadamu kwa asili wachoyo, tunaanza pamoja ila huko mbeleni kila mtu ajijali kwa kweli

watu na nyumri zetu!
 
Bado hapo hujaeleweka hakufikishi anawahi au inakuwaje?maana hapo inawezekana wewe ndio unatatizo na sio yeye

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
siyo ivyo mkubwa, ananifikishi na maanisha unajua kama mwanamke nami kunifikisha kwangu ni kukojoa, sasa yeye anakojoa ila mimi anikojoleshi, ndo tatizo langu
ok, sasa nimekupata! unataka kukojoa sio?
 
siyo ivyo mkubwa, ananifikishi na maanisha unajua kama mwanamke nami kunifikisha kwangu ni kukojoa, sasa yeye anakojoa ila mimi anikojoleshi, ndo tatizo langu

dUH Salute!!
 
Wana wake wenye busara na uvumilivu kama wewe kwa dunia ya sasa wapo wachache sana HONGERA....Sana mungu akujalie
 
Karibu tena Kaunga

Hii dunia zamani tulisema imevaa pensi nyanya, sasa naona imevaa msuli kabisa...

Babu DC!!
Asante babu DC,
Hahahah eti imevaa msuli, sasa na upepo huu si nyuchi za dunia zinakuwa wazi.......

Mdada has to work a little harder na asiyalinganishe mahusiano yake na wengine. Maana sometimes stories zaweza mrusha mtu roho, kumbe things are not as they want her to believe.
 
Last edited by a moderator:
Asante babu DC,
Hahahah eti imevaa msuli, sasa na upepo huu si nyuchi za dunia zinakuwa wazi.......

Mdada has to work a little harder na asiyalinganishe mahusiano yake na wengine. Maana sometimes stories zaweza mrusha mtu roho, kumbe things are not as they want her to believe.

Hapa mie nimeamua kuwa msomaji tu....

Ndiyo maana kila siku nawakumbusha wajukuu zangu kwamba, "tamu ni tamu kuliko tamu yenyewe"....

Na kuna wakati Bibi huwa anasema kwamba, kama uchumba ungedumu basi watu wangekuwa na raha sana...

But...it is like saying kwamba wagonjwa waweke makazi yao ya kudumu hospitali na wazima waishi majumbani!

Babu DC!!
 
Back
Top Bottom