Mume wangu nampenda sana, lakini...

Mume wangu nampenda sana, lakini...

Pole sana mdada.

Nadhani inabidi utambue na ukubali kuwa maisha jinsi mnavoishi hayawezi kuwa 100% kama yalivyokuwa mlipooana tu. Yana changamoto nyingi na mojawapo ndio hiyo....nimesikitishwa na hiyo hali ila kama walivosema Kaunga na co hebu jitazame mwenyewe:

Kufika kwako kileleni sio suala la kuwa safi tu na kutimizia majukumu yako..ni zaidi ya hayo..ni hisia zaidi...nikikusoma.napata picha kuwa hisia zako kwa mumeo kimapenzi zimepungua with time hata kama.mnaenda vekesheni kubadili mazingira......na hii ni kawaida sasa cha kufanya, jirudishe kiakili nyuma kabisa..jiandae kisaikolojia na pia yeye muandae kisaikolojia pia ili ikifika kwen kitendo muwe mmeshamaliza safari by 50%. Nadhani unanielewa na hapo itafika kileleni.

Halafu kukojoa unakozungumzia, ulishawahi au unamaanisha normal orgasms? Manake squirting ina wenyewe.ulishawahi kabla ya hali ya sasa au umesikia tu?
snowhite hebu nisaidie apo mwalimu..na FP ajazie nyama.mi apa nina hangover ya bday ya my wife wangu AshaDii
 
Last edited by a moderator:
Pole sana mdada.

Nadhani inabidi utambue na ukubali kuwa maisha jinsi mnavoishi hayawezi kuwa 100% kama yalivyokuwa mlipooana tu. Yana changamoto nyingi na mojawapo ndio hiyo....nimesikitishwa na hiyo hali ila kama walivosema Kaunga na co hebu jitazame mwenyewe:

Kufika kwako kileleni sio suala la kuwa safi tu na kutimizia majukumu yako..ni zaidi ya hayo..ni hisia zaidi...nikikusoma.napata picha kuwa hisia zako kwa mumeo kimapenzi zimepungua with time hata kama.mnaenda vekesheni kubadili mazingira......na hii ni kawaida sasa cha kufanya, jirudishe kiakili nyuma kabisa..jiandae kisaikolojia na pia yeye muandae kisaikolojia pia ili ikifika kwen kitendo muwe mmeshamaliza safari by 50%. Nadhani unanielewa na hapo itafika kileleni.

Halafu kukojoa unakozungumzia, ulishawahi au unamaanisha normal orgasms? Manake squirting ina wenyewe.ulishawahi kabla ya hali ya sasa au umesikia tu?
snowhite hebu nisaidie apo mwalimu..na FP ajazie nyama.mi apa nina hangover ya bday ya my wife wangu AshaDii
mimi sijui nimemsoma vibaya, naona kama yeye bado ana feelings zile zile kwa mumewe yet hayo mambo yanamtokea. nimemwuliza kama yupo kwa artificial njia yoyote ya uzazi wa mpango hiyo nayo inachangia sana kupunguza hamu kwa baadhi ya wamama
 
Kuna ki2 wanawake mnakosea. Suala la kufika kileleni ni jukumu lako mumeo ni chachu ndogo sana. Mapenzi ni hisia na hisia unazo wewe na yeye ana za kwake. Hivyo kuwa muwazi, mshirikishe mwenzio hisia zako, na pia jishughulishe wakati wa majambozi ili uweze kufika mshindo.
 
Mama, kikubwa ni kujituma. Weka mazngira ya usaf na kumvutia. Pia kama mwanzo alikufksha y not 2day? Umeongeza ufundi? Muweka wazi ili usije ukamdharau na kwenda nje.
 
Habari wana jamvini

Nina shida kidogo ndani ya familia yangu, na mara nyingi nimepata ushauri mzuri tu kutoka ndani ya wana jamii wa JF japo wengine watakukejeli na mengine mengi.

Leo nimekuja umu nikiomba mawazo yenu au dawa ya kutibu ili tatizo, mimi nina mume wangu na nampeenda saaana, na tuna mtoto tayari mkubwa tu, kipindi cha nyuma nilikua ninafurahia sana kipindi tupo sita kwa sita, ila toka mwaka huu uanze kiukweli si enjoy mapenzi yake kabisa, mpaka natamani kama tukae dada na kaka, ila ilo haliwezekani nami sikutoka nyumbani kwetu kufuata undugu, yeye ana enjoy ila mimi anifikishi kabisa, na sifikilii kutoka nje ya ndoa na ndo maana nimekuja umu najua kuna washauri wazuri mnisaidie naomba mchango wenu wa mawazo na uwe wa kujenga na si kubomoa sababu nampenda sana mume wangu na nina wivu nae sana na namueshimu sana, inafikia sa nyingine akitaka nambaniania najua anifikishi so nakuwa simtendei haki mume wangu. Na toka niolewe na huyo mume wangu sijawai toka nje ya ndoa na sitegemei japo wote bado vijana.

kitu cha kwanza wanawake wengi hamsemi so hongera kwa hilo,pili,jiandae mwenyewe kwanza ki saikolojia,siku nzima,pia umsaidie nae kujiandaa huku akijua fika leo kuna mechi na wewe.Pili...ikishindikana la kwanza kaa nae wawili mueleze wazi kuwa mbona anawahi kufika?wewe bado.Angalizo angalia kama majukumu yake kazini yameongezeka,au wewe umehamisha upendo kwa mtoto,,,anyway jaribu pia kukumbushia kwa kumwambia siku fulani ulinipagawisha sana hivi ulikuwa unafanyaje?atajiongeza,mkumbushie yale mazuri aliokuwa anayafanya vema kunako 6 kwa 6.
 
duu! Unajua hakuna furaha kama kupata unachotarajia ktk mapenzi na ucpopata unabakia ktk wakati mgumu na wakati mwingine unapata hasira, nakuonea huruma sana! Natamani nikusaidie ila tatizo ni ndoa yako' lakini ukipata hata mara moja tu kwa wiki amini usiamini utjisikia vzr wala huyo mumeo hatakuwa kikwazo tena kwako, karibu......'
 
Anza kutumia 0713 hiyo ingine imeisha makali ndo maana haikamati network.
 
mimi sijui nimemsoma vibaya, naona kama yeye bado ana feelings zile zile kwa mumewe yet hayo mambo yanamtokea. nimemwuliza kama yupo kwa artificial njia yoyote ya uzazi wa mpango hiyo nayo inachangia sana kupunguza hamu kwa baadhi ya wamama
hapana kiroho safi situmii njia yoyote ya uzazi wa mpango
 
hapana kiroho safi situmii njia yoyote ya uzazi wa mpango
kama ni hivyo basi jisachi mwenyewe, deep down your heart........
haya mambo huwa yanatokeaga, kwa hiyo tuyazungumze tu. hakuna mtu mwingine ambaye anakufwatilia au unauelekeo wa kumzimikia? believe me, huwezi feel watu wawili kwa wakati mmoja, kama hata unamuwaza mtu mwingine kwa sasa basi huwezi kuwa na same feelings kwa mumeo, unaweza kujilazimisha lakini moyo unakataa......
siyo lazima ujibu hapa. nimekuambia tu ujisachi, wewe mwenyewe unajua ukweli. kama utataka msaada wa ushauri na maongezi zaidi waweza kuniPM, otherwise, potezea tu.
 
Mmh, kuna mahali anakukwaza labda ila hujajua

Au mechi yake imekuwa ya kitoto? HAna small hausi hivi?
Usipowajibika kufurahia mwenyewe mtu mwingine hawezi kufurahisha.

Kama ana small house mbona yeye anafurahia

Nadhani mdada anatatizo ?

Kwa undani alidadavue ..haiwezekani zamani aweze kufurahia lakini hiyo furaha ikome mwaka huuu
 
Nimemuuliza kama ana small hausi sababu labda anakuja keshachoshwa kule huku analipua tu?
Au kuna 'tension' kati yao ila hajaijua?

Lazima kuna ishu hapa, ila hajaweka wai tu

Kama ana small house mbona yeye anafurahia

Nadhani mdada anatatizo ?

Kwa undani alidadavue ..haiwezekani zamani aweze kufurahia lakini hiyo furaha ikome mwaka huuu
 
It is all in you, punguza anxiety, muheshimu na umuadmire mumeo kama mwanzoni na jiachie mwili, maana usijiwekee mipaka; mwisho una 50% mchango ktk kufanya love making kuwa tamu.

Usimtegee, muongoze sehemu ambazo zinakupagawisha. Ongea naye badala ya kuongea nasi.
hujawahi kuacha nikapumua kwa mahabat niliyonayo kwa maakili yako!
kimsingi mawasiliano ndo tatizo hapa!
sijui kama amewahi kuzungumza na huyu shem wetu!
azungumze naye kwa mdomo,kwa mikono,kwa miguu,kwa ngozi ,kwa macho, ATASIKIA TU!
 
hujawahi kuacha nikapumua kwa mahabat niliyonayo kwa maakili yako!
kimsingi mawasiliano ndo tatizo hapa!
sijui kama amewahi kuzungumza na huyu shem wetu!
azungumze naye kwa mdomo,kwa mikono,kwa miguu,kwa ngozi ,kwa macho, ATASIKIA TU!

Me love this last line, maana it is everything she need to know.
 
Daima mi binafsi najua kila m2 ana utam wake yeye mwenyewe. Hupaaswi kumtegemea mwenzio ili akupe utamu, mwenzio anakolezea tu. Mimi ni mwanaume, ninapohitaji ku-play sex na mwanamke ina maana binafsi nimeishajijengea mazingira ya kufaidi maumbile, ya huyo mwanamke.
Sasa mtoa mada kama unakuwa hujajiweka tayari kukolezewa mautam hatasiku moja usitegemee kufikishwa kileleni.
 
Me love this last line, maana it is everything she need to know.

wengi wetu huwa tunaamini mradi sijamkuta na bikra basi anajua tuuuu!
enh!this mavitu vina twisheni na course work kila siku jamani,mwe inategemea na load ya somo lenyewe!
sasa we kama ndo mwalimu na denti lazima kila siku mkumbushane na kuifata course outline bila kuisahau kuiboresha!kila uchao!
 
Habari wana jamvini

Nina shida kidogo ndani ya familia yangu, na mara nyingi nimepata ushauri mzuri tu kutoka ndani ya wana jamii wa JF japo wengine watakukejeli na mengine mengi.

Leo nimekuja umu nikiomba mawazo yenu au dawa ya kutibu ili tatizo, mimi nina mume wangu na nampeenda saaana, na tuna mtoto tayari mkubwa tu, kipindi cha nyuma nilikua ninafurahia sana kipindi tupo sita kwa sita, ila toka mwaka huu uanze kiukweli si enjoy mapenzi yake kabisa, mpaka natamani kama tukae dada na kaka, ila ilo haliwezekani nami sikutoka nyumbani kwetu kufuata undugu, yeye ana enjoy ila mimi anifikishi kabisa, na sifikilii kutoka nje ya ndoa na ndo maana nimekuja umu najua kuna washauri wazuri mnisaidie naomba mchango wenu wa mawazo na uwe wa kujenga na si kubomoa sababu nampenda sana mume wangu na nina wivu nae sana na namueshimu sana, inafikia sa nyingine akitaka nambaniania najua anifikishi so nakuwa simtendei haki mume wangu. Na toka niolewe na huyo mume wangu sijawai toka nje ya ndoa na sitegemei japo wote bado vijana.
. Kuna mambo mawili matatu yanaweza kumkwaza na ndio ikawa sababu. Inawezekana mwenzio ameathirika kisaikolojia, au pengine ameugua magonjwa kama kisukari na magonjwa mengine kama hayo. Jaribu kuwa naye karibu zaidi, umpende zaidi, mzidishie utundu.. nadhani anaweza kurudi kwenye hali yake ya kawaida na mka enjoy maisha yenu kama hapo mwanzo.... (Kongosho, Heaven on earth.... vipi mmpo.)
 
Dada hili ni tatizo la mume wako kusahau wajibu wake ingawa nawe unaweza kuchangia yy kua hivyo ila haya yatakusaidia
1 mueleze mume wako kua kashuka kiwwngo cha mchezo
2 mueleze sehemu zinazokupa hamasa ili acheze nazo sana
3 jipambe uwezavyo kumuongeza hamasa
4 pendelea ww kua juu ujishuhulishe usimuachilie yy tu
5 jitahidi asitumie staili ya kutumia nguvu katika miguu
6 jiachie kwa stali ya mchanuko ili usiibane
7 ukimaliza roundi ya mwanzo muandae ili akufikishe
8 ikiwezekana ya kwanza tia mdomoni ya 2 ndio uweke huko

Ukitaka sababu ni PM nitakuambia
 
Mkijifungua mnaamua kuwa kunuka maziwa ndio tija na kukaa rafu rafu. Mwanaume ana kinyaa kila sehemu kasoro mpini.
 
Back
Top Bottom