Mume wangu nampenda sana, lakini...

Mume wangu nampenda sana, lakini...

dagaa

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2011
Posts
290
Reaction score
382
Habari wana jamvini

Nina shida kidogo ndani ya familia yangu, na mara nyingi nimepata ushauri mzuri tu kutoka ndani ya wana jamii wa JF japo wengine watakukejeli na mengine mengi.

Leo nimekuja umu nikiomba mawazo yenu au dawa ya kutibu ili tatizo, mimi nina mume wangu na nampeenda saaana, na tuna mtoto tayari mkubwa tu, kipindi cha nyuma nilikua ninafurahia sana kipindi tupo sita kwa sita, ila toka mwaka huu uanze kiukweli si enjoy mapenzi yake kabisa, mpaka natamani kama tukae dada na kaka, ila ilo haliwezekani nami sikutoka nyumbani kwetu kufuata undugu, yeye ana enjoy ila mimi anifikishi kabisa, na sifikilii kutoka nje ya ndoa na ndo maana nimekuja umu najua kuna washauri wazuri mnisaidie naomba mchango wenu wa mawazo na uwe wa kujenga na si kubomoa sababu nampenda sana mume wangu na nina wivu nae sana na namueshimu sana, inafikia sa nyingine akitaka nambaniania najua anifikishi so nakuwa simtendei haki mume wangu. Na toka niolewe na huyo mume wangu sijawai toka nje ya ndoa na sitegemei japo wote bado vijana.
 
Mmh, kuna mahali anakukwaza labda ila hujajua

Au mechi yake imekuwa ya kitoto? HAna small hausi hivi?
Usipowajibika kufurahia mwenyewe mtu mwingine hawezi kufurahisha.
 
yeye kama yeye anafurahia ila mimi ndo sifurahii, na kuhusu nyumba ndogo sijui kabisa na uwa sipendi kumchunguza sana na kushika simu zake uwa sipendi
 
Hakifikishi kivipi, anaishia gol 1 tena ndani ya dakika 2, au punguza mawazo na uwe muwazi kwake kama hakuandai vya kutosha mwambie, tatizo lenu unajifanya kama vile kamtaki kumbe mnataka, kama vipi mwambie aanzie uvinza kwanza ili kuamsha mashetani, au nawe huli koni, taaabu kweli kweli.
 
Ongea nae na umuambie shida yako. Atakuelewa tu, hata wewe jishugulishe ufike huko utakapo aiseee
 
Apo inabidi ujichunguze kwanza wewe,kama apo awali alikuwa anakupa mambo vizuri,bila shaka yuko fiti,jiangalie kauli zako,usafi wako kimwili na jinsi unavyojiweka,kama mimi kama mwanamke ana kauli chafu,hana adabu,mchafu kamwe siwezi kushirik tendo la ndoa kwa ku enjoy zaidi ya kuishia kukuchezea na kukuacha.pia wadada wengi mkiolewa mnajisahau mnajiweka rough kimwili hat kimavazi,pia inawezekana akawa anakosa msisimko na wewe vile vile inawezekana majukumu mengi kiasi kwamba ubongo wake unashindwa kuwa tayari kwa tendo la ndoa,pengine kapata kimada ambaye anamaliza haja zake akija kwako anaishia kukushika,jaribu pia kuchunguza hilo,ila anzia kwako kwanza jiangalie vizuri kama kuna kitu chochote ambacho akimvutii jamaa,kama uko poa jaribu hayo mengine...
 
kwani kwa sasa anafanya hayo maneno ya kitandani tofauti na mwanzo?km vp,mwambie afanye km ezi zile.ni kitendo cha kumwambia tu,nae atajirekebisha.Km hutomwambia:- itakuwa ni dalili za kumkaribisha sheteni nae atakutoa nje ya ulingo na kukupeleka sehemu mbaya zaidi,mwisho wake ni majuto.Pia,km kuna ugomvi mdogo mdogo,jaribunio kuupunguza kwani pia unaweza kuchangia wewe kutolidhika:-kwa psychologically itakuwa imeku-affect.
 
Hakifikishi kivipi, anaishia gol 1 tena ndani ya dakika 2, au punguza mawazo na uwe muwazi kwake kama hakuandai vya kutosha mwambie, tatizo lenu unajifanya kama vile kamtaki kumbe mnataka, kama vipi mwambie aanzie uvinza kwanza ili kuamsha mashetani, au nawe huli koni, taaabu kweli kweli.
siyo ivyo mkubwa, ananifikishi na maanisha unajua kama mwanamke nami kunifikisha kwangu ni kukojoa, sasa yeye anakojoa ila mimi anikojoleshi, ndo tatizo langu
 
Habari wana jamvini

Nina shida kidogo ndani ya familia yangu, na mara nyingi nimepata ushauri mzuri tu kutoka ndani ya wana jamii wa JF japo wengine watakukejeli na mengine mengi.

Leo nimekuja umu nikiomba mawazo yenu au dawa ya kutibu ili tatizo, mimi nina mume wangu na nampeenda saaana, na tuna mtoto tayari mkubwa tu, kipindi cha nyuma nilikua ninafurahia sana kipindi tupo sita kwa sita, ila toka mwaka huu uanze kiukweli si enjoy mapenzi yake kabisa, mpaka natamani kama tukae dada na kaka, ila ilo haliwezekani nami sikutoka nyumbani kwetu kufuata undugu, yeye ana enjoy ila mimi anifikishi kabisa, na sifikilii kutoka nje ya ndoa na ndo maana nimekuja umu najua kuna washauri wazuri mnisaidie naomba mchango wenu wa mawazo na uwe wa kujenga na si kubomoa sababu nampenda sana mume wangu na nina wivu nae sana na namueshimu sana, inafikia sa nyingine akitaka nambaniania najua anifikishi so nakuwa simtendei haki mume wangu. Na toka niolewe na huyo mume wangu sijawai toka nje ya ndoa na sitegemei japo wote bado vijana.
Kabla ya kuduu maandalizi yanatakiwa,
Je huwa anakuandaa kabla ya kuduu?
 
kwani kwa sasa anafanya hayo maneno ya kitandani tofauti na mwanzo?km vp,mwambie afanye km ezi zile.ni kitendo cha kumwambia tu,nae atajirekebisha.Km hutomwambia:- itakuwa ni dalili za kumkaribisha sheteni nae atakutoa nje ya ulingo na kukupeleka sehemu mbaya zaidi,mwisho wake ni majuto.Pia,km kuna ugomvi mdogo mdogo,jaribunio kuupunguza kwani pia unaweza kuchangia wewe kutolidhika:-kwa psychologically itakuwa imeku-affect.
Asante saaana kwa ushauri wako, nitajaribu uo wa kuongea nae, na ninapingana na shetani, na kwa ungovi si wezi sema uongo ni kutofautiana kwa kawaida ambao wala si ugomvi wakusema ni mkubwa
 
Kabla ya kuduu maandalizi yanatakiwa,
Je huwa anakuandaa kabla ya kuduu?
kwa njia nyingine kuniandaa amepunguza sana tena sana, mpaka sa nyingine inabidi nimwambie hubby unaniumiza
 
Habari wana jamvini

Nina shida kidogo ndani ya familia yangu, na mara nyingi nimepata ushauri mzuri tu kutoka ndani ya wana jamii wa JF japo wengine watakukejeli na mengine mengi.

Leo nimekuja umu nikiomba mawazo yenu au dawa ya kutibu ili tatizo, mimi nina mume wangu na nampeenda saaana, na tuna mtoto tayari mkubwa tu, kipindi cha nyuma nilikua ninafurahia sana kipindi tupo sita kwa sita, ila toka mwaka huu uanze kiukweli si enjoy mapenzi yake kabisa, mpaka natamani kama tukae dada na kaka, ila ilo haliwezekani nami sikutoka nyumbani kwetu kufuata undugu, yeye ana enjoy ila mimi anifikishi kabisa, na sifikilii kutoka nje ya ndoa na ndo maana nimekuja umu najua kuna washauri wazuri mnisaidie naomba mchango wenu wa mawazo na uwe wa kujenga na si kubomoa sababu nampenda sana mume wangu na nina wivu nae sana na namueshimu sana, inafikia sa nyingine akitaka nambaniania najua anifikishi so nakuwa simtendei haki mume wangu. Na toka niolewe na huyo mume wangu sijawai toka nje ya ndoa na sitegemei japo wote bado vijana.
inaaonekana intention yako ni kutoka nje ya ndoa, ndio maana una-mention mention several time. Na aliyekuambia huko nje ya ndoa ndio utafikishwa ni taahira aliebobea, wacha ujinga mweleze mumeo ukweli ili mtatue tatizo:yell:
 
siyo ivyo mkubwa, ananifikishi na maanisha unajua kama mwanamke nami kunifikisha kwangu ni kukojoa, sasa yeye anakojoa ila mimi anikojoleshi, ndo tatizo langu

Dah poa mim sjaoa nkioa ntakuja kukushauri wenda mawazo yangu yakakutenga na mwenzi wako mdada!
 
TALK TO YOUR HUSBAND. If something is missing tell him. He deserves to know
kabla hujaja hum ndani kuomba ushauri

Dont forget what life and marriage is about.
Grass isnt always greener on the other side.
so take time to water your own grass..
 
Habari wana jamvini

Nina shida kidogo ndani ya familia yangu, na mara nyingi nimepata ushauri mzuri tu kutoka ndani ya wana jamii wa JF japo wengine watakukejeli na mengine mengi.

Leo nimekuja umu nikiomba mawazo yenu au dawa ya kutibu ili tatizo, mimi nina mume wangu na nampeenda saaana, na tuna mtoto tayari mkubwa tu, kipindi cha nyuma nilikua ninafurahia sana kipindi tupo sita kwa sita, ila toka mwaka huu uanze kiukweli si enjoy mapenzi yake kabisa, mpaka natamani kama tukae dada na kaka, ila ilo haliwezekani nami sikutoka nyumbani kwetu kufuata undugu, yeye ana enjoy ila mimi anifikishi kabisa, na sifikilii kutoka nje ya ndoa na ndo maana nimekuja umu najua kuna washauri wazuri mnisaidie naomba mchango wenu wa mawazo na uwe wa kujenga na si kubomoa sababu nampenda sana mume wangu na nina wivu nae sana na namueshimu sana, inafikia sa nyingine akitaka nambaniania najua anifikishi so nakuwa simtendei haki mume wangu. Na toka niolewe na huyo mume wangu sijawai toka nje ya ndoa na sitegemei japo wote bado vijana.
kama mnafanya maandalizi kabla ya kuduu afu wew hufiki unakotaka ufike,fanya yafuatayo
1,hakikisha mpo mazingira masafi wakati mnataka kuduu
2,wote muwe wasafi na wenye kunukia manukato
3,jaribu kubadili style ya kufanya mapenzi
4,jaribu kubadili mazingira leo kitandani,kesho sebuleni,siku nyingine kwenye kochi/sofa na hata bafuni
5,kula vyakula ushibe sio chips na mishkaki kila mara
6,mweleze baba watoto unapenda akikupa mambo kwa style gani
7,kapime kama unamaambukizi ya magonjwa ya ngono,na pia UTI

Ukifanya ivo utuletee majibu,,,kazi njema,,,,athante
 
It is all in you, punguza anxiety, muheshimu na umuadmire mumeo kama mwanzoni na jiachie mwili, maana usijiwekee mipaka; mwisho una 50% mchango ktk kufanya love making kuwa tamu.

Usimtegee, muongoze sehemu ambazo zinakupagawisha. Ongea naye badala ya kuongea nasi.
 
Hilo ni tatizo linalowakuta wanandoa wengi hasa baada ya kuzaa na majukumu ya maisha kuwa mengi,kikubwa cha kufanya ni kujua tatizo la mumeo ni nini kwa kuangalia yale aliyokuwa akiyafanya zamani na yale ya sasa,angalia kipi kimepungua,tukisema uanze kujichunguza tutakuwa hatukutendei haki maana si rahisi wewe kujua tatizo lako na badala yake mwenza wako ndiye mwenye nafasi ya kujua tatizo lako ni nini.
Kaa na mumeo zungumza nae kwa kina na huna haja ya kumficha tatizo ulilonalo na utaona kuwa baada ya muda mambo yanabadilika,nina swali,kitanda mlichokuwa mkitumia ndicho mnachotumia mpaka leo toka mmeanza mapenzi yenu?Uelekeo ni uleule,chumba ni kile kile?Huwa mna tabia ya kubadilisha mazingira kwa kwenda safari pamoja na kulala tofauti na nyumbani kwenu?
Kutokana na maswali haya naweza kukushauri vizuri zaidi ukiweza kunijibu.
 
Apo inabidi ujichunguze kwanza wewe,kama apo awali alikuwa anakupa mambo vizuri,bila shaka yuko fiti,jiangalie kauli zako,usafi wako kimwili na jinsi unavyojiweka,kama mimi kama mwanamke ana kauli chafu,hana adabu,mchafu kamwe siwezi kushirik tendo la ndoa kwa ku enjoy zaidi ya kuishia kukuchezea na kukuacha.pia wadada wengi mkiolewa mnajisahau mnajiweka rough kimwili hat kimavazi,pia inawezekana akawa anakosa msisimko na wewe vile vile inawezekana majukumu mengi kiasi kwamba ubongo wake unashindwa kuwa tayari kwa tendo la ndoa,pengine kapata kimada ambaye anamaliza haja zake akija kwako anaishia kukushika,jaribu pia kuchunguza hilo,ila anzia kwako kwanza jiangalie vizuri kama kuna kitu chochote ambacho akimvutii jamaa,kama uko poa jaribu hayo mengine...
sijaolewa na huyo mwanaume ivi karibuni ni zaidi ya miaka 5 tupo wote, kwa usafi hapo sina tatizo, japo wote ni wafanyakazi ila uwa najitaidi sana kwa usafi, na mpaka pafyumu na sabuni za alovera ndo natumia kuogea na kunawia ukeni, kwa hiyo ni ngumu sana kusema mi ni mchafu, kauli mi si mmama shankupe hapana, ni mdada nina heshima zangu, na kingine mume wangu ana kauli mbaya..... HATA IVYO ASANTE KWA USHAURI WAKO
 
Back
Top Bottom