Mume wangu mvivu!

Ni rahisi sana kuweka hili la uaminifu mbele, kwani ndilo lafikirika ktk kichwa cha binadamu zaidi. Wasiwasi wangu ni kuwa kama tatizo halitokani na kuto kua muaminifu je akiomba na kufunga Mungu atasikia kweli? Maana muombaji atakuwa anatumia wrong platform. Binafsi kama mwanaume nimewai pata tatizo hili na liligharimu mahusiano yangu, niliitwa mwongo tu na kila lugha iliyofanana na tatizo langu. Kama si viumbe waliojaliwa hekima kutoa msaada kindambajuu nisingelikuwa naandika hapa sasa.inauma sana kuitwa malaya wakati huo umalaya huwez kuufanya. Tuwe makini tuwasikilize wenzi wetu wakiwa na matatizo. Kuwahukumu kwenye njia ya uaminifu tu si sahihi. Naamini kitu ambacho kinamchanganya sana mwanaume ktk mahusiano ni yeye kushindwa kuonyesha uanaume wake. Ndo maana hawa watu wanao uza 'to increase power of men ' hawakosi wafuasi
 
Hayo ndiyo malipo yakuanza kujamiiana kabla ya ndoa, ona sasa mmechokana tayari..
 
mwanamke akishaolewa ndo kamaliza no romantic issue ukkijifanya unaleta mambo ya romance utasikia eti sisi si watoto au anakuambia nenda kafanyie vimada wako. siishi kushangaa kwa kweli

Ukiambiwa hivo uje kwangu mwaya....... :becky:
kuna bidada mmoja yeye anapika ugali sa saba mme anakuja kula sa kumi na mbili jioni, japo hayanihuu!
ila nashangaa kwanini asipike ugali wa mme wake muda anaotoka kazini tena ugali wa mtu mmoja???
baba wa watu analishwa ugali ushakuwa na koti juu akipata nyumba ndogo kulia lia ooh mme wangu muhuni!!!
 
Mie kwa mtizamo wangu kuna tatizo mahali hasa kwako wewe mke wake kuna kitu hujafanya au umefanya cha kumpoteza stimu, kumbuka love/mapenzi huanzia akilini na enadepo akili iko offside utashangaa hata kama mlingoti ulikuwa umesimama utalala doroooo, do something to you love partner be with you in bb, Ie in body and brain.
 
Kwa kiasi kikubwa wanawake tuko responsible kwa hili tena sana sana walioolewa!!!!
mwanamke akishaolewa anajisahau sana, unaishi na mume kwa mazoea......
Mkuu E-SALT nimeipenda hoja yako dada, naomba tupe raha kwa kufunguka zaidi usaidie wake zetu wanajisahau sana mpaka tunawazoea.
 
Hayo ndiyo malipo yakuanza kujamiiana kabla ya ndoa, ona sasa mmechokana tayari..

Haina uhusiano!!!!!!!!
kuna shostito wangu aliacha shule form two, akaolewa na bikra yake lakini ndoa haikumaliza mwaka kaachika!
 
Mkuu E-SALT nimeipenda hoja yako dada, naomba tupe raha kwa kufunguka zaidi usaidie wake zetu wanajisahau sana mpaka tunawazoea.

wakati bado ni gf mwanamke anajijali sana mapoda, mawanja, mapafyumu, unakuwa smart muda wote....
ukiolewa madira, mavitenge yani unajiweka kibibi bibi hata kama una age ndogo, kumjali mwanaume wake ndo basi tena (japo anaweza kuwa na majukumu) ila kumsahau mwanaume sio ishu pia....in short ni mambo mengi tu!!!!
 
Tafuta dildo, uwe unajitimizia mahitaji yako huku anakuangalia; huenda akalionea wivu hilo livibrator.

Halafu ndio hao wanaume wanasema wamekuwa programed kuwa na wanawake wengi kama madume ya impala! LOL
Wewe ukishauriwa hivyo utajisikiaje...
 
Ahsante dada umemaliza. Ongeza na hii, ikitokea amejifungua mtoto basi mapenzi yote yanahamia kwa mtoto na kumsahau baba yake. Baba akirudi mama ananukia maziwa ya mtoto na jasho, nepi zinatoa harufu ya haja za mtoto, sasa hapo hamu ya kusulubu "K" itatoka wapi.
 

Madame nimeongea kwa upande wa mwanake tu, pia mwanaume nae ana yake.....
huenda kuna mambo yanamturn off hata akikaa naked mnara haushiki network!!!!
 

Yaani unavyo comment tu mie full erection dah utanmaliza mie.....................................!:becky:
 
Yaani unavyo comment tu mie full erection dah utanmaliza mie.....................................!:becky:

angalia usije chafua suruali ukatia aibu. sipati picha janaba lako mwenyewe lol!
 
Madame nimeongea kwa upande wa mwanake tu, pia mwanaume nae ana yake.....
huenda kuna mambo yanamturn off hata akikaa naked mnara haushiki network!!!!
nafkiri tulipaswa kuwa two sided manake binti kajielezea yeye na jitihada zake ambae zo mm nimeamini ni za kweli kabisa lkn sikutaka kuona mumewe ndie mkosa bali nilionesha jinsi wote wanavyosababisha haya.

kiukweli wanaume wako responsible kwa kumaintain erection yao na sio sisi wanawake.
 
mkuu anzakuwa unafanya mambo za mitego na bila kusahau pini kwenye rasta zako jitahidi kuwa mbunifu zaidi aaah ukizidiwa come kwa my side i will show you something..
 
Mumeo anafanya kazi kupita kiasi, nawewe humsaidii unategemea akirudi atakuwana hamu ya kufanya tendo la ndoa? Jaribu kumfanya akifika home asahau yote ya kazini na afurahie maisha. Siyo kila siku au kila wakati yeye ni pesa, napesa na yeye. Kunatokea sana wakati mwanaume anapokuwa anataka kutoka/kufanikiwa na hapati msaada wa mwanandani wake au pengine yeye mwenyewe hakuelezi kuwa hapa na hapa anashindwa anaomba amsaidie.
Fanya kujitutumua, msaidie mumeo hata kumpa ushauri au kumsaidia baadhi ya mjukumu ili naye apumuwe. Naimani wewe ndo mwenye kumfanya ajisikie/arudi katika hali yake ya kawaida na mtafurahia maisha yenu. Usibweteke tu nyumbani ukisubiri mumeo arudi. Nenda hata ofisini kwake, msaidie kwa kumshauri/kumtia moyo pale mambo yasipoenda sivyo. Punguza pia presha ya kutaka vitu bila kujua mumeo anazipataje hizo hela. Hili la stress nauhakika nalo kwani lilishanikuta kipindi fulani.
 
angalia usije chafua suruali ukatia aibu. sipati picha janaba lako mwenyewe lol!

Nimevaa pampaz bhana kitu ndani kwa ndani tena nshaharibu saa mingi.............!:biggrin1:

Ngoja nkajiswafi bhana................!:smow:
 

Kuna kitu kinahuu madame....
ngoja nizame kwa pm isije ikaleta pic mbaya!!!!
 
No, no no no mkuu, you are also a part of the game, you must know my situation! imagine niko very busy/stressed and you wanna have some rounds, unategemea nitaenda mbali if you don't make me forget the stressful staffs? Au if someone calls you through your mobile? Hapo kila upande unawajibika kuhakikisha unaandaa mazingira bora ya kujinafasi na pengine kwa kuwa wawazi. Mfano: kama kuna kitu naona kiko sivyo, nasijasema kitu lazima kuna some decrease in effectiveness.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…