Mume wangu lini nimekunyima utamu?

Mume wangu lini nimekunyima utamu?

Sometimes mnatukera sana wanawake ktk maisha hata tunaamua kufanya hivyo kwakuwa hata ungempa kutwa mara tatu kama kuna kero papuchi haina ladha kufikia sabuni.
 
Piga marufuku sabuni ndani kwako zitavunja ndoa yako mkuu. Huyo jamaa asiogee kitu chochote kinachotoa povu,ikiwa kinatoa povu iwe chini ya uangalizi maalum. Bila hivyo utampoteza jamaa. Haswa ukiona anapiga mayowe kiasi hicho.

Kwanza anatakiwa awe anaoga naye(waoge pamoja) badala ya kupiga nyeto, wakiwa wanaoga watamaliza hamu zao ipasavyo huko huko.
 
Yale ya---watoto/watu hawajalala, nina stress ebu niache mie, kichwa chauma, nimechoka, ndio nimetoga kuoga utanichafua nioge tena, sijisikii, na wewe unapenda sana, ebu kakojoe acha kufikiria itasinyaa...zote hizi ni sababu nguli kuleta mpinzani kwa wanawake..
Na minuno isiojulikana ukirudi hamu yote unaipeleka chooni wengine hatujui kubembeleza au kunza kuuliza sababu za minuono ambayo chanzo unakijua mwenyewe
 
Habari wana gt!
Naandika kwa masikitiko sana mume wangu nimemfumania akipiga punyeto huku akilia kwa mahaba na sabuni mkononi.

Kila anapohitaji nampa muda wowote
Leo unafanya sex na sabuni hivi tatizo nini jamani isitoshe kuna watoto ndani waje wasikie miguno bafuni.

Tatizo nini mnaopiga punyeto hali ya kuwa wake zenu tupo?
Naona unalinganisha vitu ambavyo aviendani...yaani unafananisha k...yako na Punye.....yaani hapo unakuwa...unafananisha ...Simba sport club na Barcelona... we ni simba sport club alafu punye ni Barcelona.
 
Mmh. Pole sana huenda ikawa humalizi hamu zake hivyo anabaki nazo na kuona njia sahihi ya kuzimaliza ni hiyo.

Ila tuende mbele na nyuma hapo kujisikia vibaya ni muhimu bana.

Kaa uzungumze naye ili upate kuja kama ni uteja wa nyeto basi ujue nini cha kufanya kumnasua huko.
Kumkuta na mwenzio na hiyo ipi mbaya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom