Mume wangu hapendi sex

Mume wangu hapendi sex

Tunatibu tatizo lako kwa gharama nafuu sana , karibu ofisini
Wakuu hbr za kaz
Niko mbele yenu tena kuomba ushauri juu ya hii ndoa yangu, maana inanipa wakati mgumu mno.

Mm ni mama wa watoto wawili, nimeolewa miaka8 iliyopita, niliolewa nikiwa miaka 18 na kabla cjaolewa nilikua na boyfriend wangu, tulishindwana kisa dini kwakweli tulipendana na yule jamaangu alikua ni yupo romantic SNA, yaan ukikaa nae huborek atakubeba, mala akukuiss, mala mgombane alafu akubembeleze yaan nilikua naenjoy haswaa japo alikua dereva tax lakin nilijiona kama natoka na pedeshee fulan sio kwa mahaba Yale na kunijali kule alinipenda SNA.

Nikaja kukutana na mume wangu kikaz, Naye alinipenda japo nayy alikua na kidem chake anakisomesha ila aliniambia hawana future yoyote alikua anamsaidia kutokana na hali ya uyatima wa yule bint,

Nadiliki kusema mume wangu tokea anipate amebadilika mno hajawah kuwa na michepuko wala nn na ananiamba mala kwa mala nilikua nataka Nile mototo wa kitanga nifurahie mapz, na kweli alikua anaenjoy nilijua kumkuna hasa na mahaba kama yote kwake nilikua namliza kama motto kitandan kwa utam

2017 mume wangu alipandishwa cheo, hapo ndio kizaa kinapoanza. Hana tena mzuka na mapz yeye yupo bize na kaz yaan huyu bwana mkubwa tokea aingie madalakan ndoa yangu imekua ngumu.
Yupo bize akiingia asbh kutoka usiku, akirudi yupo hoi hajiwez anakula analala tena anasema usiniamshe nimechoka acha nipumzike

Mnaweza kaa hata mwez usifanye tendo LA ndoa, na katika vitu ambavyo mkewe navipenda ni Huo mchezo, yaan some time mpaka namlillia Nipe kimoja bas anakwambia kesho mke wangu nimechoka sna, na ukimuangalia ni kweli amechoka
Inabidi umuache tu

Jaman napitia wakati mgumu, yaan mume wangu hayupo romantic kabisaaa yaan hata busu unafanya kumuomba yupo bize bize na kazi balaa.

Najikuta naanza kukumbuka ule mchepuko wangu yule afsa wa NMB yaan alinipa shoo mpaka nikimkumbuka najikuta natabadam, Ila yule jamaa anaonekana play boy SNA, na anamuogopa Mr wangu so ananikwepa HV japo nimemuomba awe anikuna tu nikiwa na nyege ila bado ananipotezea

Jaman nifanyaje, narudia tena sio kwamba wanaochepuka wanapenda ila changamoto za ndoa, kweli mwez mzima ninaishi na mume ndani namkalia uchi lakin hatak nifanyaje.

Nimeshaongea nae SNA kwamba Nina nyege mume wangu lakin anasema kesho kesho kesho.

Nifanyaje nampenda mume wangu SNA, kupita maelezo na wala sipendi kuchepuka lakin mwili unanisumbua nifanyaje jaman
 
SIPATI PICHA IDADI YA PM ZIZIZOKUJA KWAKO 😃😃
 
Na hapa ndio kuna tatizo kubwa la ndoa zetu hizi, na shetani nae anataka nafasi hapo hapo kuhakikisha kwanza mke anachepuka kitachofuata ni mme kujua na ndoa inasambatika, shetani anabaki kuwa na furaha kuu. Mi nakushauri utulie kuna kpindi kinatokea kwa mwanaume yoyote kwenye ndoa, angalia ndoa katika mapana yake, umemsifia sana mume wako kuwa anachoka katika kutafuta lakini nikwambie kitu tu machofu hayamzuii mtu kutoa haki ya tendo la ndoa hata kidogo, inawezekana mume kiwango cha homoni za sex kimeshuka, ama hamu imeshuka, kinachotakiwa hapo ni ubunifu wako, kama mwanaume anasimamisha hakuna anaekataa sex
 
Sina cha kukushauri ila hata nibebe zege siku nzima, mzigo lazima nile.
 
Kweli kwenye miti hakuna wajenzi.
Wengine hatupati mambo haya kwa wake zetu japo tunatamani hata iwe kila siku nimkune lakini wapi. Yeye jamaa anapata mtu mwenye full nyege lakini hapigi mzigo.
Dah..
muda flani WANACHOSHA.
 
Ndoa zinachangamoto SNA, kila MTU akieleza sake hapa hapatatosha.

Ushauri wangu, mvumilie mume wako maana mmekula kiapo kwenye shida na raha, hizo ndoa shida inabidi umvumilie utakapochepuka ukafumwa utakosa uaminifu tena kwa mume wako na utajutia maamuz yko.
Mdigo hujambo??
 
Wakuu hbr za kaz
Niko mbele yenu tena kuomba ushauri juu ya hii ndoa yangu, maana inanipa wakati mgumu mno.

Mm ni mama wa watoto wawili, nimeolewa miaka8 iliyopita, niliolewa nikiwa miaka 18 na kabla cjaolewa nilikua na boyfriend wangu, tulishindwana kisa dini kwakweli tulipendana na yule jamaangu alikua ni yupo romantic SNA, yaan ukikaa nae huborek atakubeba, mala akukuiss, mala mgombane alafu akubembeleze yaan nilikua naenjoy haswaa japo alikua dereva tax lakin nilijiona kama natoka na pedeshee fulan sio kwa mahaba Yale na kunijali kule alinipenda SNA.

Nikaja kukutana na mume wangu kikaz, Naye alinipenda japo nayy alikua na kidem chake anakisomesha ila aliniambia hawana future yoyote alikua anamsaidia kutokana na hali ya uyatima wa yule bint,

Nadiliki kusema mume wangu tokea anipate amebadilika mno hajawah kuwa na michepuko wala nn na ananiamba mala kwa mala nilikua nataka Nile mototo wa kitanga nifurahie mapz, na kweli alikua anaenjoy nilijua kumkuna hasa na mahaba kama yote kwake nilikua namliza kama motto kitandan kwa utam

2017 mume wangu alipandishwa cheo, hapo ndio kizaa kinapoanza. Hana tena mzuka na mapz yeye yupo bize na kaz yaan huyu bwana mkubwa tokea aingie madalakan ndoa yangu imekua ngumu.
Yupo bize akiingia asbh kutoka usiku, akirudi yupo hoi hajiwez anakula analala tena anasema usiniamshe nimechoka acha nipumzike

Mnaweza kaa hata mwez usifanye tendo LA ndoa, na katika vitu ambavyo mkewe navipenda ni Huo mchezo, yaan some time mpaka namlillia Nipe kimoja bas anakwambia kesho mke wangu nimechoka sna, na ukimuangalia ni kweli amechoka
Inabidi umuache tu

Jaman napitia wakati mgumu, yaan mume wangu hayupo romantic kabisaaa yaan hata busu unafanya kumuomba yupo bize bize na kazi balaa.

Najikuta naanza kukumbuka ule mchepuko wangu yule afsa wa NMB yaan alinipa shoo mpaka nikimkumbuka najikuta natabadam, Ila yule jamaa anaonekana play boy SNA, na anamuogopa Mr wangu so ananikwepa HV japo nimemuomba awe anikuna tu nikiwa na nyege ila bado ananipotezea

Jaman nifanyaje, narudia tena sio kwamba wanaochepuka wanapenda ila changamoto za ndoa, kweli mwez mzima ninaishi na mume ndani namkalia uchi lakin hatak nifanyaje.

Nimeshaongea nae SNA kwamba Nina nyege mume wangu lakin anasema kesho kesho kesho.

Nifanyaje nampenda mume wangu SNA, kupita maelezo na wala sipendi kuchepuka lakin mwili unanisumbua nifanyaje jaman
MWILI UKIKUSUMBUA UKATE UBAKI NA ROHO, MOJA YA FAIDA KUBWA YA ROHO NI KUTOKUENDESHWA NA MWILI MAANA ROHO ITAKUWA HURU NA TAMAA ITAPUNGUA AMA KUTOKUWAPO KABISA, NA SUALA LA KUMKUMBUKA MCHEPUKO WAKO WA NMB NI WAZI KABISA SOLUTION HIYO UNAYO ILA SOLUTION HIYO IMEGOMA KULETA MAJIBU MAANA HESABU YAKO IMEKUWA NGUMU KIASI KWAMBA UKIKOKOTOA INAKUPOTEZEA.
TIJA AMA DAWA YA NYEGE NI NYEGE YENYEWE, KAMA UNAJARIBU KUKUMBUKA USALITI NA AFISA KIASI CHA KUTABASAMU MAANA YAKE UNAFURAHIA UNACHOKIFANYA NA SI VEMA KUKUZUIA KUENDELEA KUTOKUFANYA KINACHOKUPA FURAHA AMA WEWE KUONA NDIO FURAHA YAKO NI VEMA UENDELEE.
 
mkiletewa gunia mbili za mkaa mnaanza kusema huyu jamaa ana roho mbaya
 
Inawezekana mme wako amejua umemsaliti so Hana hisia tena na wewe ndo maana kesho kesho haziishi....
Mueleze ukweli kuwa ulichepuka na umuombe msamaha
 
Hapendiiiii .........ahh kuna wanaume wanatuaibisha sana
 
Back
Top Bottom