Mume wangu haniridhishi kwenye tendo

Mume wangu haniridhishi kwenye tendo

Tanya

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2013
Posts
340
Reaction score
159
Habari wanajamvi,

Mwenzenu nimekaa kwenye ndoa kwa miaka minne na nina mtoto mmoja lakini kila siku tendo nalifanya sioni reha yoyote.

Siku moja nilijaribu kutoka nje ya ndoa nikapata raha ambayo sijawahi kuipata toka nizaliwe sasa leo tena tumekutana na mume wangu anaingia tu kabla sijaanza kufeel chochote anakuwa ameshamaliza na analala usingizi kabisaaa!!!

Mimi nabaki nahangaika kuhesabu boriti.

Kwa kuwa kumueleza nimeshindwa nimeamua kumtumia sms hii; "
Unakera sana jamaa yangu ,kamakazi inakushinda si uwaachie wenzio kuliko kutesana usiku kucha kulala macho?

We mwanaume gani usiyejua kumridhisha mke wako.

Kwahiyo kila siku utakuwaga learner tu!!! huo ni utahira kama hujui, mimi nimechoka kuachwa njiapanda kila siku na sio mjinga wa kuachwa njiapanda, labda utafute mjinga mwenzio ndo uwe unamuacha njiapanda.

Kazi imekushinda jitoe kwenye game waingie wenye uwezo wao.

Siwezi kuvumilia kero za aina hiyo maana kero ulizonazo zinanitosha sikupaswa niongezewe na kero za kwenye tendo la ndoa.

Mjinga wewe hebu nikatafute wenye uwezo wa kunirishisha wewe umeshashindwa miaka minne yote kapa???"

Je, Niko sahihi kumtumia sms hii?
sijui atabadilika?
Sijui tatizo ni nini?
by mama kado
Mnisaidieni?
 
wewe kwa sms hiyo inaonyesha umezoea kuchepuka, hauko sasa hata robo kutuma hiyo msg, hizo ni akili za kikahaba, huwezi mtumia mumeo msg kama hiyo...kitu kingine ambacho husababisha mumeo kuishiwa ladha ya tendo ni k kubwa, tena yenye maji lukuki...anyway karibu chemba nikutatulie tatizo lako
 
Msg nzuri sana hii kwa mtu ambaye anataka kuvunja ndoa. Ila kwa mtu anayetaka kurekebisha mapungufu kwenye ndoa yake haifai hata kidogo. Tulia kaa na mume wako umueleze kwa upole na kwa upendo na mshirikiane kutafuta suluhushi pamoja.
 
Huyo mume au mwanaume tu? mmh wewe pia unatakiwa umsaidie kama kweli unampenda. Kuchepuka siyo dawa utapeleka maradhi tu, zungumzeni kuhusu hilo achana na hiyo msg. Ila hata kama ndoa yenyewe umeichoka ni msg nzuri kwa kuivunja. Kila la kheri mamii.
 
Ilifaa useme nae taratibu unaweza kujua baadae kua chanzo cha hilo tatzo la mumeo ni ww..hua kuna sababu nyingi ambazo hupunguza nguvu za kiume..
 
ilikuwaje akawa mme wako????.si usepe sasa udhaifu wa mapenzi yenu si tufanyaje hujui huku kuna wadada wengi hawajaolewa unategemea ushauri upi mi nakushauri kuwa mstarabu nyege zako zisikutume kumchafua jina baba wa mtoto malizaneni
 
Unataka uboreshe ndoa au uivunje kwa kiasi ambacho hata hamtakaa msalimiane tena?
Nafikiri tendo la ndoa ni tatizo moja tu lakini yapo mengine mengi ndani ya ndoa yenu, Je umeshawahi kumueleza mwenzio, je wewe unajishughulisha shughulini?
 
Habari wanajamvi,
Mwenzenu nimekaa kwenye ndo kwa miaka minne na nina mtoto mmoja lakini kila siku tendo nalifanya sioni reha yoyote. Siku moja nilijaribu kutoka nje ya ndoa nikapata raha ambayo sijawahi kuipata toka nizaliwe sasa leo tena tumekutana na mume wangu anaingia tu kabla sijaanza kufeel chochote anakuwa ameshamaliza na analala usingizi kabisaaa!!! Mimi nabaki nahangaika kuhesabu boriti.
Kwa kuwa kumueleza nimeshindwa nimeamua kumtumia sms hii; "
Unakera sana jamaa yangu ,kamakazi inakushina si uwaachie wenzio kuliko kutesana usiku kucha kulala macho? We mwanaume gani usiyejua kumridhisha mke wako. KWa hiyo kila sikuutakuwaga learner tu!!! huo ni utahira kama hujui, mimi nimechoka kuachwa njiapanda kila siku na sio mjinga wa kuachwa njiapanda, labda utafute mjinga mwenzio ndo uwe unamuacha njiapanda. Kazi imekushinda jitoe kwenye game waingie wenye uwezo wao. Siwezi kuvumilia kero za aina hiyo maana kero ulizonazo zinanitosha sikupaswa niongezewe na kero za kwenye tendo la ndoa. Mjinga wewe hebu nikatafute wenye uwezo wa kunirishisha wewe umeshashindwa miaka minne yote kapa???"

Je, Niko sahihi kumtumia sms hii??
sijui atabadilika?
Sijui tatizo ni nini?
by mama kado
Mnisaidieni?

Mpnzi leo njoo tena tupeane raha dunia achana nae huyo hawezi mapigo
 
Hiyo message umeshamtumia au bado unasubiri ushauri kwanza kabla ya kutuma?
 
Back
Top Bottom