Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,530
- 13,467
Nemo kamaliza kila kitu.
Mmama amwambie mumewe watumie kinga wao, na amuache mumewe apekue huko mtaani.
Kingine anachoweza ni kumnyima unyumba kama anataka kukaa na watoto wake; ndoa nyingi zimeshapitia majaribu ya hivyo (hapo viongozi wa dini huhusika)
Mwisho ni kuachana naye!
Hiyo ni kama kweli anajali future ya watoto. Ingawa si 100% sure coz vifo vipo tu, hata kwa ajali!
Mmama amwambie mumewe watumie kinga wao, na amuache mumewe apekue huko mtaani.
Kingine anachoweza ni kumnyima unyumba kama anataka kukaa na watoto wake; ndoa nyingi zimeshapitia majaribu ya hivyo (hapo viongozi wa dini huhusika)
Mwisho ni kuachana naye!
Hiyo ni kama kweli anajali future ya watoto. Ingawa si 100% sure coz vifo vipo tu, hata kwa ajali!
Last edited by a moderator: